think3r91
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 469
- 210
Mbona wote ni ccm? Ina maana cdm hawana watu wenye uzoefu
Tatizo sio kwamba CDM hawana watu wenye sifa za kugombea hizo nafasi. Nadhani wanatumia na kucheza vema karata yao Bungeni.
Ki_namba CDM wapo wachache sana, kuweka mtu wa kugombea na tuseme akapata hicho kiti, idadi yao kwenye kuwasilisha ama kupigilia misumali katika hoja wanazoamini zipo sawa utakuwa mdogo, achilia mbali lawama za watu kusema kwamba kila hoja imepita kwa sababu wao,CDM ndo wana spika hivo kudidimiza hoja mbadala.
Pengine watakosa sehemu ya kulalamika kama ilivo hulka yao "kwasababu flani Flan wamepitisha hoja hii ama kuipa nguvu ama kutunyima nafasi ili atetee maslahi ya chama chake.."
#just saying 🙂