Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Umeelewa comment yangu kweli?Tueleze for 10 years anataka tena Kwa lipi alilofanya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeelewa comment yangu kweli?Tueleze for 10 years anataka tena Kwa lipi alilofanya?
Alikuwa kwa muda gani?Sugu hajawah kuwa mbunge kwa miaka 10
Sugu hajawah kuwa mbunge kwa miaka 10
Sugu hajawahi kuwa mbunge Kwa miaka 10,uko serious kweli?Bora yangu sio mzushi na muongo
Ni Typing error hakuwah kuwa mbunge miaka 15 ni miaka 10 tokea 2010 mpaka 2020Alikuwa kwa muda gani?
We ulisema alikua mbunge miaka 15 ndo nikakusahihisha kwamba ni miaka 10 au umesahauSugu hajawahi kuwa mbunge Kwa miaka 10,uko serious kweli?
Siwezi kumlinganisha Sugu na Tulia kwa kuwa siyo subject matter. Bali subject matter ni kuhusishwa Tulia na ujenzi wa barabara ya Igawa- Tunduma.Kabla ya mapovu ilitakiwa uoneshe alichofanya Sugu Kwa miaka 15 alivyokuwa mbunge wa Mbeya.
Mwisho ukisema sio yeye hajaanza Leo Wala Jana ku push hiyo miradi na Serikali ingeweza kuisubilisha ila Kwa kelele na heshima yake kama Spika Serikali imelazimika kuanza Ujenzi wa hiyo miradi.
Kwa taarifa Yako tuu Kambi ya mradi wa Maji Iko Forest Mpya Jirani na Ofisi ya TFS Kanda ,Sasa hapo sijui ni Jimbo la nani.
Tulia ataonesha hiyo miradi,hao wengine wataonesha nini?
Mwabukusi ana nafasi kubwa japo yeye ni mwana NCCR. Ila siyo lazima ahamie CHADEMA, wanaweza kuachiana.Watamuweka nani hao Chadema? Mwambukusi au? Sugu atakubari?
Kwanza hujaelewa hata mada yangu maana mwishoni nimehoji Miaka 10 ya Sugu kafanya nini?Siwezi kumlinganisha Sugu na Tulia kwa kuwa siyo subject matter. Bali subject matter ni kuhusishwa Tulia na ujenzi wa barabara ya Igawa- Tunduma.
Tafuta wajinga wa Facebook ndiyo uwadanganye achana na JF, lakini sisi tuna juwa ukweli
Ndio maana ya Kiongozi hiyo , haiwezekani Kila mtu kuwa KiongoziYaani pesa zetu wenyewe... zikijenga miundombinu sifa ziende kwake?
Ujinga huu utaisha lini?
Aseee kweli... kwa hiyo kujenga miundombinu ya barabara kwako ndo maana ya kiongozi?Ndio maana ya Kiongozi hiyo , haiwezekani Kila mtu kuwa Kiongozi
Mwamba ni mzushi na muongo sanaSiwezi kumlinganisha Sugu na Tulia kwa kuwa siyo subject matter. Bali subject matter ni kuhusishwa Tulia na ujenzi wa barabara ya Igawa- Tunduma.
Tafuta wajinga wa Facebook ndiyo uwadanganye achana na JF, lakini sisi tuna juwa ukweli
Kwani hapo umeona ni miundombinu ya Barabara tuu? Mkienda Kugombea Huwa mnawaambia nini wapiga kura wenu?Aseee kweli... kwa hiyo kujenga miundombinu ya barabara kwako ndo maana ya kiongozi?
Wewe ndo umeolewa au vipiWewe Mzee ndio unamkumbuka😂🐼
Hii Dunia inabadilika kwa kasi iba Ule usiwekee wanao wataolewa hata kama ni wa kiume!
Kwanza hujaelewa hata mada yangu maana mwishoni nimehoji Miaka 10 ya Sugu kafanya nini?
Kazi ya mbunge popote ni kusemea Wananchi Ili Serikali itatue hizo shida Sasa wewe Kila kitu unabisha sijui tukusaidiaje.
Hiyo nimetaja ni miradi mikubwa ,Baadhi ya miradi midogo ni hii hapa
View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1699305706065711341?t=j_9qmY26urhacLuAtbq-lQ&s=19
Na juzi alikuwa kuchangia blocks za ujenzi wa jengo la Moyo hospital ya Rufaa Kwa Ajili ya Huduma hizo maana tulikuwa tunazifuata Dar,Dom au Ikonda Sasa zitapatikana Mbeya.
Kazi nzuri ya Dr.Tulia mama wa connection anaiheshimisha Mbeya,acha chuki zako Jamaa
View: https://www.instagram.com/p/CxCfYl9oXge/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
Ukiona namfagilia mtu ujue amefanya jambo zuri,Mimi sio mshabiki wa Vyama.Anyway tusibishane sana, umetimiza wajibu wako kumfagilia Tulia, if there's any pay you deserve, go and collect. Ila hoja ya Tulia kuwa ni mbunge mwenye impact na Mbeya hizo ni NJOZI tu
Wewe endelea kula Vya mafisadi tuWewe ndo umeolewa au vipi
Spika wa Bunge mh.Dk.Tulia Ackson Mwansasu(PhD) Akihojiwa na Clouds kwamba anaacha alama gani Mbeya amejibu kwamba ikitokea hajaendelea kuwa mbunge basi Wana Mbeya watamkumbuka Kwa ujenzi wa Barabara ya Njia 4 Kwa miaka yake hii mi 5 ambayo amekuwa mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini.
Japo jambo hili ndio linaonekana Kwa haraka lakini Mimi nitamkumbuka Kwa mambo Makuu mengine ma 3 ukiacha Hilo la Barabara ya Nsalaga-Ifisi njia 4. Mambo hayo ni ;
1)-Ujanzi wa Jengo la wodi ya kina Mama pale Meta la gorofa 6 ambalo limeipa hadhi Hospital ya Rufaa ya Kanda Mbeya
2)-Ameacha ujenzi wa mradi mkubwa wa Maji wa kutoka chanzo Cha mto kiwira Wilaya ya Rungwe Hadi Jijini Mbeya na Mbalizi Kwa Zaidi ya Bilioni 160.
3)-Ukamilishaji wa Uwanja wa ndege wa Songwe(Anapigania uitwe Mbeya),ikumbukwe Toka Mwandosya ameasisi ujenzi wake awamu ya Mkapa ,uwanja Imekamilika mwaka huu 2023 baada ya Kubomoa na kuijenga Upya runwaya zake,kufunga taa na jengo la Abiria.
4)-Ujenzi wa Barabara ya Igawa-Uyole-Songwe-Tunduma na Uyole-Mbalizi Bypass Kwa njia 4 Kwa Utaratibu wa EPC+F
5)-Mradi wa Tactic una components za Barabara za mtaani km 20,Masoko 3,Stand 3(Soon unaanza).
Hata kama by 2025 Miradi itakuwa haijakamilika inaendelea ila ni vitu ambavyo vinaonekana unaweza waoneaja watu wakaelewa.
----
"Nikisema Mbeya mjini watanikumbuka kwa jambo gani ni kwamba ujenzi wa barabara ya njia nne umeshaanza maana yake ile barabara itakapokamilika au hata kama haikukamilika mimi nikiwa mbunge imeshaanza hivyo siku zote watajua kwamba ilianza kujengwa wakati Mbunge akiwa fulani.
Lakini pia tunazipigania barabara za mitaa, lami zimeshaanza hapa na pale lakini ni dhahiri nchi ni kubwa hii na fedha zote haziwezi kwenda kufanya kazi Mbeya pekee kwahiyo itatuchukua muda ila tumeshaanza kazi na Wananchi wanaona"
View: https://twitter.com/CloudsMediaLive/status/1701840872604643605?t=PfAYhz-xe9rsq-mNS-LWxA&s=19
My Take
Sugu wa Chadema amekuwa Mbunge miaka 10 hana hata kitu Kimoja Cha maana anaweza onesha Wananchi Ili kuja kumkumbuka.
Tulipompata Tulia Ackson kama mbunge, Mbeya yote imechangamka kwa miradi ya miundombinu
Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu. Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa. Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la...www.jamiiforums.com