Spika Dkt. Tulia Ackson: Mbeya Watanikumbuka Kwa Ujenzi wa Barabara Njia 4

Spika Dkt. Tulia Ackson: Mbeya Watanikumbuka Kwa Ujenzi wa Barabara Njia 4

Kabla ya mapovu ilitakiwa uoneshe alichofanya Sugu Kwa miaka 15 alivyokuwa mbunge wa Mbeya.

Mwisho ukisema sio yeye hajaanza Leo Wala Jana ku push hiyo miradi na Serikali ingeweza kuisubilisha ila Kwa kelele na heshima yake kama Spika Serikali imelazimika kuanza Ujenzi wa hiyo miradi.

Kwa taarifa Yako tuu Kambi ya mradi wa Maji Iko Forest Mpya Jirani na Ofisi ya TFS Kanda ,Sasa hapo sijui ni Jimbo la nani.

Tulia ataonesha hiyo miradi,hao wengine wataonesha nini?
Siwezi kumlinganisha Sugu na Tulia kwa kuwa siyo subject matter. Bali subject matter ni kuhusishwa Tulia na ujenzi wa barabara ya Igawa- Tunduma.

Tafuta wajinga wa Facebook ndiyo uwadanganye achana na JF, lakini sisi tuna juwa ukweli
 
Watamuweka nani hao Chadema? Mwambukusi au? Sugu atakubari?
Mwabukusi ana nafasi kubwa japo yeye ni mwana NCCR. Ila siyo lazima ahamie CHADEMA, wanaweza kuachiana.

Japo Mwabukusi pia ni mlengwa wa Busokelo. Kwa hiyo ataangalia zilipo strengths nyingi na probabilities
 
Siwezi kumlinganisha Sugu na Tulia kwa kuwa siyo subject matter. Bali subject matter ni kuhusishwa Tulia na ujenzi wa barabara ya Igawa- Tunduma.

Tafuta wajinga wa Facebook ndiyo uwadanganye achana na JF, lakini sisi tuna juwa ukweli
Kwanza hujaelewa hata mada yangu maana mwishoni nimehoji Miaka 10 ya Sugu kafanya nini?

Kazi ya mbunge popote ni kusemea Wananchi Ili Serikali itatue hizo shida Sasa wewe Kila kitu unabisha sijui tukusaidiaje.

Hiyo nimetaja ni miradi mikubwa ,Baadhi ya miradi midogo ni hii hapa

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1699305706065711341?t=j_9qmY26urhacLuAtbq-lQ&s=19

Na juzi alikuwa kuchangia blocks za ujenzi wa jengo la Moyo hospital ya Rufaa Kwa Ajili ya Huduma hizo maana tulikuwa tunazifuata Dar,Dom au Ikonda Sasa zitapatikana Mbeya.

Kazi nzuri ya Dr.Tulia mama wa connection anaiheshimisha Mbeya,acha chuki zako Jamaa

View: https://www.instagram.com/p/CxCfYl9oXge/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
 
Siwezi kumlinganisha Sugu na Tulia kwa kuwa siyo subject matter. Bali subject matter ni kuhusishwa Tulia na ujenzi wa barabara ya Igawa- Tunduma.

Tafuta wajinga wa Facebook ndiyo uwadanganye achana na JF, lakini sisi tuna juwa ukweli
Mwamba ni mzushi na muongo sana
Kuna siku alipigwa ban watu wakawa wanamponda sikuelewa na sikuchangia chochote ila leo ndo nimeelewa
 
Aseee kweli... kwa hiyo kujenga miundombinu ya barabara kwako ndo maana ya kiongozi?
Kwani hapo umeona ni miundombinu ya Barabara tuu? Mkienda Kugombea Huwa mnawaambia nini wapiga kura wenu?

Au hizo manifesto zenu Huwa mnaandika nini humo ndani?
 
Kwanza hujaelewa hata mada yangu maana mwishoni nimehoji Miaka 10 ya Sugu kafanya nini?

Kazi ya mbunge popote ni kusemea Wananchi Ili Serikali itatue hizo shida Sasa wewe Kila kitu unabisha sijui tukusaidiaje.

Hiyo nimetaja ni miradi mikubwa ,Baadhi ya miradi midogo ni hii hapa

View: https://twitter.com/ortamisemitz/status/1699305706065711341?t=j_9qmY26urhacLuAtbq-lQ&s=19

Na juzi alikuwa kuchangia blocks za ujenzi wa jengo la Moyo hospital ya Rufaa Kwa Ajili ya Huduma hizo maana tulikuwa tunazifuata Dar,Dom au Ikonda Sasa zitapatikana Mbeya.

Kazi nzuri ya Dr.Tulia mama wa connection anaiheshimisha Mbeya,acha chuki zako Jamaa

View: https://www.instagram.com/p/CxCfYl9oXge/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Anyway tusibishane sana, umetimiza wajibu wako kumfagilia Tulia, if there's any pay you deserve, go and collect. Ila hoja ya Tulia kuwa ni mbunge mwenye impact na Mbeya hizo ni NJOZI tu
 
Anyway tusibishane sana, umetimiza wajibu wako kumfagilia Tulia, if there's any pay you deserve, go and collect. Ila hoja ya Tulia kuwa ni mbunge mwenye impact na Mbeya hizo ni NJOZI tu
Ukiona namfagilia mtu ujue amefanya jambo zuri,Mimi sio mshabiki wa Vyama.

Hata Samia namfagilia Kwa sababu anafanya mambo mazuri ya kuonekana.

Mwisho Kuna ujumbe hapa 👇
-992289575.jpg
 
Spika wa Bunge mh.Dk.Tulia Ackson Mwansasu(PhD) Akihojiwa na Clouds kwamba anaacha alama gani Mbeya amejibu kwamba ikitokea hajaendelea kuwa mbunge basi Wana Mbeya watamkumbuka Kwa ujenzi wa Barabara ya Njia 4 Kwa miaka yake hii mi 5 ambayo amekuwa mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini.

Japo jambo hili ndio linaonekana Kwa haraka lakini Mimi nitamkumbuka Kwa mambo Makuu mengine ma 3 ukiacha Hilo la Barabara ya Nsalaga-Ifisi njia 4. Mambo hayo ni ;
1)-Ujanzi wa Jengo la wodi ya kina Mama pale Meta la gorofa 6 ambalo limeipa hadhi Hospital ya Rufaa ya Kanda Mbeya

2)-Ameacha ujenzi wa mradi mkubwa wa Maji wa kutoka chanzo Cha mto kiwira Wilaya ya Rungwe Hadi Jijini Mbeya na Mbalizi Kwa Zaidi ya Bilioni 160.

3)-Ukamilishaji wa Uwanja wa ndege wa Songwe(Anapigania uitwe Mbeya),ikumbukwe Toka Mwandosya ameasisi ujenzi wake awamu ya Mkapa ,uwanja Imekamilika mwaka huu 2023 baada ya Kubomoa na kuijenga Upya runwaya zake,kufunga taa na jengo la Abiria.

4)-Ujenzi wa Barabara ya Igawa-Uyole-Songwe-Tunduma na Uyole-Mbalizi Bypass Kwa njia 4 Kwa Utaratibu wa EPC+F

5)-Mradi wa Tactic una components za Barabara za mtaani km 20,Masoko 3,Stand 3(Soon unaanza).

Hata kama by 2025 Miradi itakuwa haijakamilika inaendelea ila ni vitu ambavyo vinaonekana unaweza waoneaja watu wakaelewa.

----
"Nikisema Mbeya mjini watanikumbuka kwa jambo gani ni kwamba ujenzi wa barabara ya njia nne umeshaanza maana yake ile barabara itakapokamilika au hata kama haikukamilika mimi nikiwa mbunge imeshaanza hivyo siku zote watajua kwamba ilianza kujengwa wakati Mbunge akiwa fulani.

Lakini pia tunazipigania barabara za mitaa, lami zimeshaanza hapa na pale lakini ni dhahiri nchi ni kubwa hii na fedha zote haziwezi kwenda kufanya kazi Mbeya pekee kwahiyo itatuchukua muda ila tumeshaanza kazi na Wananchi wanaona"

View: https://twitter.com/CloudsMediaLive/status/1701840872604643605?t=PfAYhz-xe9rsq-mNS-LWxA&s=19


My Take
Sugu wa Chadema amekuwa Mbunge miaka 10 hana hata kitu Kimoja Cha maana anaweza onesha Wananchi Ili kuja kumkumbuka.

ni sawa haina shida
 
Back
Top Bottom