Spika Dkt. Tulia Ackson: Mbeya Watanikumbuka Kwa Ujenzi wa Barabara Njia 4

Rais, wabunge zaidi ya asilimia 80, wakurugenzi wote wanatoka ccm tokea ila huwezi amini lawama anapewa chadema kwa umaskin wa nchi hii baada ya miaka 60+ ya uhuru
Haya ndo maajabu ya Tanzania
Ndio tunataka Kiongozi anaetoa majibu.Chadema Mbeya Kwa miaka 10 mkifanya nini? Lazima muoneshe Ili watu wawaamini.kushika Dola sio mumekalia kula ruzuku tuu.
 
Hiyo siyo kazi ya Tulia Ackson bali ni zile fedha za COVID-19 kutoka IMF ambazo hospitali na madarasa zimejengwa nchi nzima. Kama kuna mtu wa kumsifia basi ni Rais Samia.

Hakuna wilaya ambayo imekosa vituo vya afya
 
Ndio tunataka Kiongozi anaetoa majibu.Chadema Mbeya Kwa miaka 10 mkifanya nini? Lazima muoneshe Ili watu wawaamini.kushika Dola sio mumekalia kula ruzuku tuu.
Nimeshakupa majibu
2010 mpaka 2015 halmashauri ilikua chini ya ccm waulize ccm walifanya nini
Na 2015 mpaka 2020 nimekushajibu ila umeamua kuchagua ubishi
 
Nimeshakupa majibu
2010 mpaka 2015 halmashauri ilikua chini ya ccm waulize ccm walifanya nini
Na 2015 mpaka 2020 nimekushajibu ila umeamua kuchagua ubishi
Tuko awamu ya Samia na Tulia hao wengine hawapo saizi,walishasahaulika kama Sugu
 
Hiyo siyo kazi ya Tulia Ackson bali ni zile fedha za COVID-19 kutoka IMF ambazo hospitali na madarasa zimejengwa nchi nzima. Kama kuna mtu wa kumsifia basi ni Rais Samia.

Hakuna wilaya ambayo imekosa vituo vya afya
Tatizo mwamba ana hisi kila mtu ni mpiga debe yaan sio mfuatiliaji
Alafu anafikiri ukiwa tofauti naye basi unashabikia au mwana-chadema
 
Huo ujenzi wa barabara si mpango wake, ulisnzishwa na serikali kabla hajawa mbunge ili kupunguza ajali zilizokuwa zikitokea, mpango wa mradi wa maji ulianza wakati Kikwete akiwa rais, alipoingia Magufuli alizuia miradi ya maendeleo majimbo yote ya wapinzani, huyu mama anapenda kudandia na uongo juu.
 
Mpango ni Toka Uhuru ,ila ushawishi wake ndio umefanya ianze kujengwa Sasa.

Onyesha alichofanya Sugu sitaki blaa blaa
 
Mpango ni Toka Uhuru ,ila ushawishi wake ndio umefanya ianze kujengwa Sasa.

Onyesha alichofanya Sugu sitaki blaa blaa
Toka uhuru! Wewe ulikuwa hajazaliwa na hata Dar haikuwa na njia nne, pia hiyo Mbeya yenyewe hauijui ila uchawa unakusumbua.
 

Maendeleo ya vitu (majengo na Barabara) ni lazima yafanyike tu maadamu kodi za wananchi zinaendelea kukusanywa, tusipoona maendeleo ya vitu basi tunatakiwa tuweke mgomo wa kulipa kodi, sasa mtuambie kipindi hicho magufuli ameitupa mbeya pesa zetu alimoatia nani maana alifanya makusudi ili tuchukie wapinzani, na kama maendeleo ya vitu yataendelea kuja bila kujali kiongozi ni msomi au si msomi basi kiongozi bora hawezi kupimwa kwa hivi vitu bali atapimwa kwa ubunifu mwingine wa kuwapa watu furaha pasipo kuhitaji matumizi ya pesa mfano kutunga sheria nzuri, mikataba mizuri, kupinga ufisadi, kuondoa ukabila, na mambo mengine mengi mfano nyerere mpaka leo anakumbukwa kwa kuondoa ukabila na sio kwa kujenga Barabara na shule (maana hivi ni wajibu maadamu kodi ipo inatozwa) kwa maana hiyo hatuwezi kumkumbuka tulia kwa mabarabara bali tutamkumbuka kwa ubaya wa kutusaliti bungeni na kuuza bandari zetu na kutunga sheria za tozo kwa watanzania,nk. Kwa maana hiyo hafai kuwa mbunge anatupunguzia raha duniani
 
Samia na Tulia wanapiga kote kote vitu na Ustawi wa jamii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…