Spika Dkt. Tulia Ackson: Mbeya Watanikumbuka Kwa Ujenzi wa Barabara Njia 4

Spika Dkt. Tulia Ackson: Mbeya Watanikumbuka Kwa Ujenzi wa Barabara Njia 4

Haijalishi! 2025 tunasimama na mwenye jimbo lake, barabara huo ni wajibu wenu na sio hisani!!
Sasa huyo kopp unaesimama nae wewe akusaodie Kwa lipi? Watu wanataka anaetimiza wajibu sio kupayuka hovyo
 
Sahihisho: Halmashauri ya Jiji la Mbeya ilikuwa chini ya CCM mwaka 2000-2010. Sugu aliingia 2010- 2015 halafu 2015-20.

Tulia ameingia 2020 baada ya Magufuli kumpa ubunge wa bila kupigiwa kura
Na hata 2015 mpaka 2020 baada ya kuwa chini ya chadema
Magufuli aliamuru makusanyo yote ya halmashauri yaende hazina kwanza yaani wakitaka hela kwa ajili ya maendeleo wamuombee tena magufuli

Na magufuli hakuishia hapo akasema hapeleki maendeleo kwa wapinzani kwa kutowapa ruhusa ya kutumia mapato kutoka kwenye halmashauri zao

Simtetei sugu ila kwa mazingira hayo unamlaumuje
 
Sasa huyo kopp unaesimama nae wewe akusaodie Kwa lipi? Watu wanataka anaetimiza wajibu sio kupayuka hovyo
Chawa inatakiwa ujue hili
Na hata 2015 mpaka 2020 baada ya halmashauri ya mbeya kuwa chini ya chadema
Magufuli aliamuru makusanyo yote ya halmashauri yaende hazina kwanza yaani wakitaka hela kwa ajili ya maendeleo wamuombee tena magufuli

Na magufuli hakuishia hapo akasema hapeleki maendeleo kwa wapinzani kwa kutowapa ruhusa ya kutumia mapato kutoka kwenye halmashauri zao
 
Chawa inatakiwa ujue hili
Na hata 2015 mpaka 2020 baada ya halmashauri ya mbeya kuwa chini ya chadema
Magufuli aliamuru makusanyo yote ya halmashauri yaende hazina kwanza yaani wakitaka hela kwa ajili ya maendeleo wamuombee tena magufuli

Na magufuli hakuishia hapo akasema hapeleki maendeleo kwa wapinzani kwa kutowapa ruhusa ya kutumia mapato kutoka kwenye halmashauri zao
We chawa wa kopo Sugu Usinichoshe ni zamu ya huyo kopo wako kuonesha alichofanya, Wapinzani wenzie Wana Cha kuonesha kama Prof.Jay nk
 
We chawa wa kopo Sugu Usinichoshe ni zamu ya huyo kopo wako kuonesha alichofanya, Wapinzani wenzie Wana Cha kuonesha kama Prof.Jay nk
Chawa wa ccm hujui hata
Kipindi cha magufuli alilazimisha halmashauri zote zipeleke mapato yao hazina hadi hili ulikua hulijui kweli wewe ni chawa mbobefu
 
Lini sheria ilibadilishwa hela zikawa chini ya Magufuli? Sugu ni mzigo
Hauko conversant na issues japo unabisha sana. Mwaka 2016 baada ya Magufuli kuwa Rais, alianzisha mfumo ambao makusanyo yote ya Halmashauri yanakwenda Hazina kuu. Then halmashauri zitakuwa zinaomba Hazina fedha za miradi na matumizi ya kawaida.

Kama hilijui hili wewe siyo mtu makini. Alone Artifact Collector
 
Hauko conversant na issues japo unabisha sana. Mwaka 2016 baada ya Magufuli kuwa Rais, alianzisha mfumo ambao makusanyo yote ya Halmashauri yanakwenda Hazina kuu. Then halmashauri zitakuwa zinaomba Hazina fedha za miradi na matumizi ya kawaida.

Kama hilijui hili wewe siyo mtu makini. Alone Artifact Collector
Onyesha miradi ambayo kina Sugu wali I plan wakanyimwa pesa Kwa sababu ya pesa kwenda hazina.

Pili kwani saizi pesa zote haziendi hazina?
 
Spika wa Bunge mh.Dk.Tulia Ackson Mwansasu(PhD) Akihojiwa na Clouds kwamba anaacha alama gani Mbeya amejibu kwamba ikitokea hajaendelea kuwa mbunge basi Wana Mbeya watamkumbuka Kwa ujenzi wa Barabara ya Njia 4 Kwa miaka yake hii mi 5 ambayo amekuwa mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini.

Japo jambo hili ndio linaonekana Kwa haraka lakini Mimi nitamkumbuka Kwa mambo Makuu mengine ma 3 ukiacha Hilo la Barabara ya Nsalaga-Ifisi njia 4. Mambo hayo ni ;
1)-Ujanzi wa Jengo la wodi ya kina Mama pale Meta la gorofa 6 ambalo limeipa hadhi Hospital ya Rufaa ya Kanda Mbeya

2)-Ameacha ujenzi wa mradi mkubwa wa Maji wa kutoka chanzo Cha mto kiwira Wilaya ya Rungwe Hadi Jijini Mbeya na Mbalizi Kwa Zaidi ya Bilioni 160.

3)-Ukamilishaji wa Uwanja wa ndege wa Songwe(Anapigania uitwe Mbeya),ikumbukwe Toka Mwandosya ameasisi ujenzi wake awamu ya Mkapa ,uwanja Imekamilika mwaka huu 2023 baada ya Kubomoa na kuijenga Upya runwaya zake,kufunga taa na jengo la Abiria.

4)-Ujenzi wa Barabara ya Igawa-Uyole-Songwe-Tunduma na Uyole-Mbalizi Bypass Kwa njia 4 Kwa Utaratibu wa EPC+F

5)-Mradi wa Tactic una components za Barabara za mtaani km 20,Masoko 3,Stand 3(Soon unaanza).

Hata kama by 2025 Miradi itakuwa haijakamilika inaendelea ila ni vitu ambavyo vinaonekana unaweza waoneaja watu wakaelewa.

----
"Nikisema Mbeya mjini watanikumbuka kwa jambo gani ni kwamba ujenzi wa barabara ya njia nne umeshaanza maana yake ile barabara itakapokamilika au hata kama haikukamilika mimi nikiwa mbunge imeshaanza hivyo siku zote watajua kwamba ilianza kujengwa wakati Mbunge akiwa fulani.

Lakini pia tunazipigania barabara za mitaa, lami zimeshaanza hapa na pale lakini ni dhahiri nchi ni kubwa hii na fedha zote haziwezi kwenda kufanya kazi Mbeya pekee kwahiyo itatuchukua muda ila tumeshaanza kazi na Wananchi wanaona"

"Watu wa Mbeya ni watu wakarimu, wenye Upendo na hivyo mimi na wao tunapendana.

Mimi kama kiongozi wa kuchaguliwa na watu ni kwamba si wote ni wanasiasa na wengine hata siasa sio wafuatiliaji ila wana mambo yao, hoja zao, changamoto zao, hivyo ukishirikiana nao kwenye zile changamoto zao wala hawasikilizi huyu kapita huku au huku wao wanataka kazi ifanyike" - Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson @TuliaAckson

My Take
Sugu wa Chadema amekuwa Mbunge miaka 10 hana hata kitu Kimoja Cha maana anaweza onesha Wananchi Ili kuja kumkumbuka.
View attachment 2748183
Hizo za Baba yake.
 
Lini sheria ilibadilishwa hela zikawa chini ya Magufuli? Sugu ni mzigo
Basi nabishana na mtoto ina maana na hili hulijui ambalo lilitokea mwaka 2015
Hauko conversant na issues japo unabisha sana. Mwaka 2016 baada ya Magufuli kuwa Rais, alianzisha mfumo ambao makusanyo yote ya Halmashauri yanakwenda Hazina kuu. Then halmashauri zitakuwa zinaomba Hazina fedha za miradi na matumizi ya kawaida.

Kama hilijui hili wewe siyo mtu makini. Alone Artifact Collector
ana ubishi wa kitoto na wakati mambo yalikua wazi nimeshangaa hadi hilo alikua halijui

Magufuli alichukua mamlaka za halmashauri na hiki kitendo wadau wengi wa maendeleo walikipinga sana na baada ya kuchukua hizo mamlaka akawa na ujasiri wa kusema hapeleki maendeleo kwa majimbo ya wapinzani sababu hata wakiomba hela za maendeleo anapiga chini hilo ombi
 
Back
Top Bottom