Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Ulienda shule kusomea ujinga? Mbona unaonekana kama kada maana ndio mnavyokuagaSio tuu hakusema Bali hakuwa na ushawishi Wala heshima ya Kuifanya Serikali itilie maanani anachosema.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulienda shule kusomea ujinga? Mbona unaonekana kama kada maana ndio mnavyokuagaSio tuu hakusema Bali hakuwa na ushawishi Wala heshima ya Kuifanya Serikali itilie maanani anachosema.
Ulitaka nionekane mpuuzi kama wewe chawa wa Sugu?Ulienda shule kusomea ujinga? Mbona unaonekana kama kada maana ndio mnavyokuaga
Nani akukumbuke wewe kibaraka wa kuuza bandari zetu. Hata kama barabara zimejengwa kwani ni hela yako? Tulifikiri mwanamapinduzi mtetezi wa umma kumbe mpigaji mchumia tumbo tu.Spika wa Bunge mh.Dk.Tulia Ackson Mwansasu(PhD) Akihojiwa na Clouds kwamba anaacha alama gani Mbeya amejibu kwamba ikitokea hajaendelea kuwa mbunge basi Wana Mbeya watamkumbuka Kwa ujenzi wa Barabara ya Njia 4 Kwa miaka yake hii mi 5 ambayo amekuwa mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini.
Japo jambo hili ndio linaonekana Kwa haraka lakini Mimi nitamkumbuka Kwa mambo Makuu mengine ma 3 ukiacha Hilo la Barabara ya Nsalaga-Ifisi njia 4. Mambo hayo ni ;
1)-Ujanzi wa Jengo la wodi ya kina Mama pale Meta la gorofa 6 ambalo limeipa hadhi Hospital ya Rufaa ya Kanda Mbeya
2)-Ameacha ujenzi wa mradi mkubwa wa Maji wa kutoka chanzo Cha mto kiwira Wilaya ya Rungwe Hadi Jijini Mbeya na Mbalizi Kwa Zaidi ya Bilioni 160.
3)-Ukamilishaji wa Uwanja wa ndege wa Songwe(Anapigania uitwe Mbeya),ikumbukwe Toka Mwandosya ameasisi ujenzi wake awamu ya Mkapa ,uwanja Imekamilika mwaka huu 2023 baada ya Kubomoa na kuijenga Upya runwaya zake,kufunga taa na jengo la Abiria.
4)-Ujenzi wa Barabara ya Igawa-Uyole-Songwe-Tunduma na Uyole-Mbalizi Bypass Kwa njia 4 Kwa Utaratibu wa EPC+F
5)-Mradi wa Tactic una components za Barabara za mtaani km 20,Masoko 3,Stand 3(Soon unaanza).
Hata kama by 2025 Miradi itakuwa haijakamilika inaendelea ila ni vitu ambavyo vinaonekana unaweza waoneaja watu wakaelewa.
----
"Nikisema Mbeya mjini watanikumbuka kwa jambo gani ni kwamba ujenzi wa barabara ya njia nne umeshaanza maana yake ile barabara itakapokamilika au hata kama haikukamilika mimi nikiwa mbunge imeshaanza hivyo siku zote watajua kwamba ilianza kujengwa wakati Mbunge akiwa fulani.
Lakini pia tunazipigania barabara za mitaa, lami zimeshaanza hapa na pale lakini ni dhahiri nchi ni kubwa hii na fedha zote haziwezi kwenda kufanya kazi Mbeya pekee kwahiyo itatuchukua muda ila tumeshaanza kazi na Wananchi wanaona"
"Watu wa Mbeya ni watu wakarimu, wenye Upendo na hivyo mimi na wao tunapendana.
Mimi kama kiongozi wa kuchaguliwa na watu ni kwamba si wote ni wanasiasa na wengine hata siasa sio wafuatiliaji ila wana mambo yao, hoja zao, changamoto zao, hivyo ukishirikiana nao kwenye zile changamoto zao wala hawasikilizi huyu kapita huku au huku wao wanataka kazi ifanyike" - Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson @TuliaAckson
My Take
Sugu wa Chadema amekuwa Mbunge miaka 10 hana hata kitu Kimoja Cha maana anaweza onesha Wananchi Ili kuja kumkumbuka.
View attachment 2748183Tulipompata Tulia Ackson kama mbunge, Mbeya yote imechangamka kwa miradi ya miundombinu
Pamoja na siasa uchwara za wenzetu, inabidi tukubali ukweli tunaouona kwa macho yetu. Toka tumeanza kuwa na huyu mbunge wetu Tulia Ackson, miradi mkoa wa Mbeya imeanza kuchangamsha mkoa. Pamoja na kuwa mkoa mkubwa wa uzalishaji mkubwa wa chakula kwa Taifa, Mbeya ilikuwa katika jinamizi la...www.jamiiforums.com
Wana Mbeya ndio watamkumbuka, Bandari Iko Dar nenda utaikuta.Nani akukumbuke wewe kibaraka wa kuuza bandari zetu. Hata kama barabara zimejengwa kwani ni hela yako? Tulifikiri mwanamapinduzi mtetezi wa umma kumbe mpigaji mchumia tumbo tu.
Kazi ipi aonyeshe na wakati umeshapewa sababuWana Mbeya ndio watamkumbuka, Bandari Iko Dar nenda utaikuta.
Mwisho ni vyema Sugu akaonesha kazi ya ubunge wake Kwa miaka 10 badala ya kutoa mapovu Kwa Kasi ya Tulia.
Kazi ya mbunge sio kujenga Barabara ila ni kuisimamia serikali na kutunga sheria. Sasa asisahau hiyo part ya 2 ambayo yeye kama Spika amesimamia sheria mbovu kutungwa na amefeli kabisa kuhakikisha bunge linaitumia ripoti ya CAG kuinyoosha serikali.Spika wa Bunge mh.Dk.Tulia Ackson Mwansasu(PhD) Akihojiwa na Clouds kwamba anaacha alama gani Mbeya amejibu kwamba ikitokea hajaendelea kuwa mbunge basi Wana Mbeya watamkumbuka Kwa ujenzi wa Barabara ya Njia 4 Kwa miaka yake hii mi 5 ambayo amekuwa mbunge wa Jimbo la Mbeya mjini.
Toa shobo na upumbavu wako hapa,asingeisimamia hiyo Serikali ingeleta pesa za kujenga Barabara na miradi mingine Mbeya?Kazi ya mbunge sio kujenga Barabara ila ni kuisimamia serikali na kutunga sheria. Sasa asisahau hiyo part ya 2 ambayo yeye kama Spika amesimamia sheria mbovu kutungwa na amefeli kabisa kuhakikisha bunge linaitumia ripoti ya CAG kuinyoosha serikali.
Sitta hakuna alichofanya jimboni kwake ila ana legacy kubwa mnoo sababu ya jinsi bunge lilifanya kisawasawa kazi ya kuisimamia serikali
Kwani miradi mingapi mlikua mnaipiga chenga kisa kuogopa kumpa sugu credit? Na hii tabia hata Dar mlifanya, Kuna mradi wa Maji ulichepushwa usipite ubungo kisa kuogopa kumpa Mnyika credit!! Alafu mkibaki wenyewe ndio mnafanya eti ionekane mbunge wa CCM ndio kafanya!!Wana Mbeya ndio watamkumbuka, Bandari Iko Dar nenda utaikuta.
Mwisho ni vyema Sugu akaonesha kazi ya ubunge wake Kwa miaka 10 badala ya kutoa mapovu Kwa Kasi ya Tulia.
Chadema iliongoza Jiji la Mbeya, onyesheni miradi mliyobuni na kutekeleza badala ya kutafuta excuses za kijinga.Kwani miradi mingapi mlikua mnaipiga chenga kisa kuogopa kumpa sugu credit? Na hii tabia hata Dar mlifanya, Kuna mradi wa Maji ulichepushwa usipite ubungo kisa kuogopa kumpa Mnyika credit!! Alafu mkibaki wenyewe ndio mnafanya eti ionekane mbunge wa CCM ndio kafanya!!
Mbeya sio mbumbumbu hivyo na Tulia anajua hilo so ajiandae kisaikolojia 2025 unless Jimbo ligawanywe.
Mradi wa kiwira kupeleka maji mbeya mjini sugu aliuongelea mara nyingi sana ila kwa sababu ni mpinzani haukutekelezwaKwani miradi mingapi mlikua mnaipiga chenga kisa kuogopa kumpa sugu credit? Na hii tabia hata Dar mlifanya, Kuna mradi wa Maji ulichepushwa usipite ubungo kisa kuogopa kumpa Mnyika credit!! Alafu mkibaki wenyewe ndio mnafanya eti ionekane mbunge wa CCM ndio kafanya!!
Mbeya sio mbumbumbu hivyo na Tulia anajua hilo so ajiandae kisaikolojia 2025 unless Jimbo ligawanywe.
2015-2020Chadema iliongoza Jiji la Mbeya, onyesheni miradi mliyobuni na kutekeleza badala ya kutafuta excuses za kijinga.
Na kama Mbeya haipati miradi Kwa Ajili ya Chadema,Kwa nini kuchagua chama kinacholeta hasara?
Mbona ameeleza siku anaaga mwezi wa 7 Ile 2020.... Au unajitoa ufahamu.Mwisho ni wakati wa Sugu kuonesha alichofanya Mbeya Kwa miaka 10.
Huelewi maana ya oversight mfano serikali imejenga barabara ni kazi ya bunge kuhakikisha hakukuwa na ufisadi, quality ni sawa na hakuna unnecessary delays. Sasa huyo Dr Tulia anajua Kuna zaidi ya billion 400 ilitafunwa kwenye ripoti ya CAG amefanya Nini so far?? Hiyo ndio primary kazi ya mbunge.shobo na upumbavu wako hapa,asingeisimamia hiyo Serikali ingeleta pesa za kujenga Barabara na miradi mingine Mbeya?
Nataka wewe hapo unitajie Ili tuweke kumbukaMbona ameeleza siku anaaga mwezi wa 7 Ile 2020.... Au unajitoa ufahamu.
Huelewi maana ya oversight mfano serikali imejenga barabara ni kazi ya bunge kuhakikisha hakukuwa na ufisadi, quality ni sawa na hakuna unnecessary delays. Sasa huyo Dr Tulia anajua Kuna zaidi ya billion 400 ilitafunwa kwenye ripoti ya CAG amefanya Nini so far?? Hiyo ndio primary kazi ya mbunge.
Kingine kwenye utungaji sheria, hapo ndio Kuna sheria mbovu kama zile za tozo kwenye miamala ya kielektroniki, kupandisha bei ya bundles, tozo kwenye miamala ya benki, sheria mbovu za uwekezaji, bajeti hewa, alafu unakuja kuongelea Barabara ndio kipimo Cha utendaji wa SPIKA??
You can't be serious
Na ndio maana wanataka kumuadhibu Dr Tulia maana haiwezekani mnahujumu mkoa mzima kisa tu umewakataa kwenye sanduku la kura.Na kama Mbeya haipati miradi Kwa Ajili ya Chadema,Kwa nini kuchagua chama kinacholeta hasara?
Mtu mwenye akili timamu hawezi mchagua kiasi kama Sugu labda uwe dishi.Na ndio maana wanataka kumuadhibu Dr Tulia maana haiwezekani mnahujumu mkoa mzima kisa tu umewakataa kwenye sanduku la kura.
Kodi inalipwa na Kila mtu wakiwemo CHADEMA Sasa wewe unaona ni sawa mkoa uhujumiwe kisa chama? Basi msikusanye Kodi za wanachadema.
Rais, wabunge zaidi ya asilimia 80, wakurugenzi wote wanatoka ccm tokea ila huwezi amini lawama anapewa chadema kwa umaskin wa nchi hii baada ya miaka 60+ ya uhuruNa ndio maana wanataka kumuadhibu Dr Tulia maana haiwezekani mnahujumu mkoa mzima kisa tu umewakataa kwenye sanduku la kura.
Kodi inalipwa na Kila mtu wakiwemo CHADEMA Sasa wewe unaona ni sawa mkoa uhujumiwe kisa chama? Basi msikusanye Kodi za wanachadema.
Rais, wabunge zaidi ya asilimia 80, wakurugenzi wote wanatoka ccm tokea ila huwezi amini lawama anapewa chadema kwa umaskin wa nchi hii baada ya miaka 60+ ya uhuruMtu mwenye akili timamu hawezi mchagua kiasi kama Sugu labda uwe dishi.
Unaona ulivyo na akili fupi sasa. Yan mnadhani kila anayekuja kuongelea siasa basi ni chawa wa chama fulani. Wengine tunatumia elimu zetu sawasawa hatuna huo utopolo wa uchawa. Msingi wa swali langu ulikua direct kukufirisha lakini kwa bahati mbaya akili kisoda ukakurupuka kunijibu tofauti.Ulitaka nionekane mpuuzi kama wewe chawa wa Sugu?
Wewe chawa wa Sugu,onesheni mlichofanya miaka 10,blaa blaa hapana.Unaona ulivyo na akili fupi sasa. Yan mnadhani kila anayekuja kuongelea siasa basi ni chawa wa chama fulani. Wengine tunatumia elimu zetu sawasawa hatuna huo utopolo wa uchawa. Msingi wa swali langu ulikua direct kukufirisha lakini kwa bahati mbaya akili kisoda ukakurupuka kunijibu tofauti.
Rudia kusoma halafu kaa chini utafakari nilitaka kumaanisha nini? Am not too old but also not that young for this