Spika Dkt. Tulia aomba jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa

Huyo Tulia anatafuta kukwepa kupambana na SUGU maana anajua hawezi kutoboa!
Waangalie gharama za kuwa na wabunge wengi
 
India ina watu 1.4 billon ina wabunge 788 wa upper house na lower house.Tanzania yenye watu 61M ina wabunge 360.
Africa aliye tuloga asha kufa.
 
Ili tuendelee tunahitaji wananchi wajiwakilishe kwa kujitolea zaidi kuliko mfumo wa sasa ambao muwakikishi analipwa zaidi ya mtaalamu.
Kwa utaratibu wa sasa;

Kwanza kabisa inadumaza maendeleo kwa wataalamu kukimbilia kwenye siasa.
Pili inaongeza rushwa kwa watu wenye tamaa kutumia gharama kubwa kushawishi.
Tatu inasababisha uwezekano wa watu wajinga kuwakilisha wengine kupitia rushwa.
 
Haya yalikuwepo enzi zile, Kongwa ilizaliwa baada ya Mchungaji kunena neno la Bwana, watu wakaanza kuelekea alipo, ili kuokoa jahazi Kongwa ikazaliawa!!!!
 
Anamkimbia Sugu na keshasema ulipo naye yupo mpaka uteme mbungo na bahati mbaya Samia sio Magufuri Free &fair election
 
Kinachonishangaza zaidi ni hivyo vigezo vya kugawa majimbo!

"Ummy amesema majimbo mengi yameomba kugawanywa lakini mambo yanayotazamwa ni pamoja na ukubwa wa ukumbi wa bunge, idadi ya wabunge wa viti maalumu na jiografia za maeneo yaliyoomba kugawanywa"
 
"the shit is real real"[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]from facebook(Livino Haule) [emoji116]

Enzi zetu darasani Sekondari unaulizwa "What are the major reasons for Tulia's suggestion to divide Mbeya Urban Constituency."

Majibu tungesema;

1. Lack of Legitimacy

2. Death of Mwendazake

3. Samia's ideology of Maridhiano (4-Rs)

4. Fear of 2025 General Elections

5. Strength of Mbilinyi the SUGU.
[emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…