Spika Dkt. Tulia aomba jimbo la Mbeya Mjini kugawanywa

India ina watu 1.4 billon ina wabunge 788 wa upper house na lower house.Tanzania yenye watu 61M ina wabunge 360.
Africa aliye tuloga asha kufa.
Kuna wabunge 120 ambao hawana msaada kwa Tz
Mshahara wao ni Bilioni 93.6

Mafuta kila mwezi lita 120,000 zenye thamani ya Bilioni 29 kwa miaka 5

Kiinua mgongo Zaidi ya Bilioni 15

Bado Ofisi zao

Kwa ufupi hela za wabunge wasio na majimbo zinaweza jenga madarasa ya msingi na upili zaidi ya 7500 ambazo tutapunguza msongamano wa wanafunzi
 
Huyu Nguli wa sheria na Spika wa bunge ameonesha kiwango kidogo cha ufanisi kwenye siasa

Kitendo cha kutoka hadharani na kudai kuwa Jimbo la Mbeya Mjini ligawanywe ni kuonesha namna hofu na mashaka yalivyomjaa kuhusu Uchaguzi ujao.

Mara kadhaa zimetolewa mada humu kuhusu uwezo wake wa kisiasa na kuongoza jimbo la Mbeya.

Hatimaye mmepata majibu.

Kosa kubwa alilofanya ni kutoka hadharani na kuonesha udhaifu huo. Kwanini hakutumia japo Chawa wake wa mbali.

Ndio kusema chawa aliwatuma wamegoma akaamua kujilipua?
Kauli yake inapunguza ari na uaminifu kwa vyombo vya chama vinavyoteua wagombea na hivyo huenda vikambwaga chini

Kuna watu watasema aaah wapi? Spika hawezi kuangushwa jimbo wajiuliza Spika Ndugai leo yuko wapi?
Chini ya Katiba bora na Tume huru ya Uchaguzi hata PM majariwa jawezi kushinda uchaguzi kwenye Jimbo la Ruangwa.
 
Huyu Nguli wa sheria na Spika wa bunge ameonesha kiwango kidogo cha ufanisi kwenye siasa

Kitendo cha kutoka hadharani na kudai kuwa Jimbo la Mbeya Mjini ligawanywe ni kuonesha namna hofu na mashaka yalivyomjaa kuhusu Uchaguzi ujao...
Alijaribu lakini Kila chawa alichomoa
 
Huyu Nguli wa sheria na Spika wa bunge ameonesha kiwango kidogo cha ufanisi kwenye siasa

Kitendo cha kutoka hadharani na kudai kuwa Jimbo la Mbeya Mjini ligawanywe ni kuonesha namna hofu na mashaka yalivyomjaa kuhusu Uchaguzi ujao...
Ngoja tuone hitimisho lake, maana hoja ya msingi HAKUNA!
 
Mbona Zanzibar kila baada ya kilometer 2.5 kuna mbunge na kila baada ya kilometer 5 kuna mkoa ?.
Kinachowapa jeuri ni muungano, wana mahali pa kuegemea! Wasomi wao wana nafasi ya kufanya kazi Bara hivyo kuwaongezea fursa ya ajira zaidi kwao tofauti na huku Bara ni kuongeza mzigo kwa serikali.
 
Na mishahara itagawanywa nusu ?

Mimi kama mmoja ya waajiri wa hawa jamaa sioni value for money wanachofanya; Ningependekeza hata hii namba iliyopo ipunguzwe zaidi ya nusu....
 
Kwanza nashangaa hadi leo jiji la Mbeya halijagawanywa. Kwenye kampeni zake za 2020. JPM alipokuwa Mbeya alisema baraza la madiwani likiapishwa tu kikao cha kwanza kiwe kujadili kugawanywa kwa jiji la Mbeya. Naona baraza na huyo Meya wake wamezubaa sana. Huyu Tulia anakumbushia tu ahadi ya Jiwe. Ni vema mchakato ukaanza mapema.
 
Kama wanazingatia ukubwa wa jimbo na wingi wa watu, napendekeza Zanzibar wawe na majimbo matano. Matatu Unguja na mawili Pemba.

Hii ni kwa bunge la muungano; kwenye baraza lao la wawakilishi wanaweza kupanga idadi wanayoona inawafaa.
 
Sugu ngoma nzito
Inaitwa pasu kwa pasu
 
Waweke kabisa vigezo vya Jimbo kugawanywa ili vigezo vikifikiwa automatically Jimbo ligawanyike
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…