Spika Dkt. Tulia awatembelea hospitali Wabunge majeruhi wa basi

Hata kuwataja majina imekuwa muhali! Watawala badilikeni huo uhasama mnaoutengeneza dhidi ya wananchi mwisho wake siyo mzuri.
 
Viti maalimu! Vya jiwe.
 
Vit... maalum😄, kazi kuzurura na kutafuna Kodi zetu.

Waf... Tu.
 
Ukipanda ndege 759,431.56

Tatizo la kutoka BACKGROUND ZA KIMASIKINI.

UNAJILIPIA HUYO CHAP KENYAA UNA BANANA KWENYE BUS KAMA MWANAFUNZI...


IFIKE MAHALI NYINYI WABUNGE MUE NA REASONING.

BARA BARA ZA ULAYA NI ZINAJENGWA KAMA ILIVYO BARABARA ZA MWENDOKASI YAAN KUNA KI UKUTA ZINAZO ENDA ZINAENDA ZINAZO RUDI ZINARUDI.

NI WAKATI MWAFAKA WABUNGE WAONE UMUHIMU WA KUJENGA MIUNDO MBINU KAMA YA ULAYAAA
 
Wabunge waliopata ajali hawana majina.?
tena hizo picha zenyewe zimepigwa kichoyo ni kama vile mpiga picha alilala kifudifudi sakafuni ndio akapiga hizo picha..tatizo la nchi hii kuumwa kwa viongozi ni siri ila wakikata moto hayo mapambio sasa.!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…