Pre GE2025 Spika Dkt. Tulia na Wabunge wa CCM wagomea hoja ya watu kutekwa na kuuawa kujadiliwa. Wananchi Tuwaambie "YOU ARE FIRED"

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Roho mbaya ni tabia ya mtu haina uhusiano na kutokua na mtoto,hata huyo mnaemsema kua hana watoto ana watoto wawili ila hapendi show off
Na ndiyo maana nimesema wengi sijasema wote. Hapo kwenye show off ndiyo sijakuelewa.
 
Kukwepa tu majukumu. Hapo ilitakiwa wazuri wa mambo ya ndani, Mkuu wa usalama wa Taifa kuwekwa mtu kati kwa maswali konki konki mapaka akirudi kwa mke wake ashindwe kusimamisha jogoo kwa msongo wa mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…