Nabii lemaGodbless Lema Anatabiri Nyingi Sana
leo mtauwanaI support. Huyu kenge anastahili life ban, maana huwa anawashwa washwa kupost nasty stuff. Kenge wa kijivu huyu!
Wote waliovuruga uchaguzi mkuu mmoja mmoja wanaliwa kichwaYametimia!
Hayo tuwaachie kwa sasa akili kumkichwa twende nawanec watuambie Ile habari ya uchafuzi mkuu.Hapo wabunge wapate fundisho. Sheria zao wanazo pitisha kwa kuhongwa lunch hayo ndiyo madhara yake.
Wingi na uimara wa upinzani ndio unaofanya bunge kuwa imara sio spika wa chama tawala.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unachekesha!
Bunge ndio linaenda kuwa kibogoyo mazima maana spika ajae ataogopa akileta fyoko ataambiwa ana chuki na ana mkwamisha mama.
Mchawi amekufa milango imefunguka ndoto zitatimia.Kungekua na upinzani imara, hapa tungechukua nchi kiulaiiini...maccm yanavurugana tu!
Kuonyesha msisitizoMbona kaiandika kwa herufi kubwa!?
Fanyeni maamuzi kabla muda hauja waacha.Nyie kondoo lazima mtawanyike hakuna namna
Hakuna kisichowezekana chini ya juaYule Chair wenu hatabiriki, anaweza akambeba na still mkaja kumsifia humu
Hujui hata unachoandika yaani huoni kama huyo spika ajaye ndio atakuwa meaningless kabisa maana hatosema kitu hata kama ni kibaya kwa kuogopa yaliyomkuta mtangulizi wake, au democracy ni kila asemacho/afanyacho Rais kila mtu lazima aseme YESHabari njema na Nuru mpya Kwa democrasia , uhuru wa kweli na haki katika taifa letu nauona mwanzo mpya Kwa bunge litakalo tekeleza wajibu wake ipasavyo, Sasa tuhamie Kwa wale wa NEC na wanaokwamisha kupatikana katiba mpya .
Sukumq gangShinikizo la kutaka Spika ajiuzulu ktk nafasi yake limeshikiwa bango zaidi na wafuasi wa Mbowe/Chadema.
Niwazi kabisa Spika alikuwa mwiba mkali sana kwa ktk kusimamia sheria na kanuni za mbunge na haswa kwa wapinzani ambao walitaka kuleta mchezo.
Sasa leo hii hatuwezi kushangaa kuona genge la Mbowe likishangilia na kupiga mayowe eti Spika ajiuzulu.
Kamwe wana CCM Makini wasikubali kuingia ktk mtego huuu.
Inatosha na Inatosha sana kwa kitendo cha kiungwana alicho kifanya Spika cha kuomba radhi.
Kamwe tusikubali kuendelea kumdhalalisha Spika wetu aliye fanya kazi kwa umahiri mkubwa na kuisaidia nchi yetu.
Ni vyema wana CCM wakawa makini ktk kipindi hiki cha upepo mbaya, wapaswa kuwa watulivu na nidhamu ya hali ya juu.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kazi iendeleee kama kawaida.
Mbona hajashughulikiwa popote? Yeye aliongea jukwaani na akajibiwa majukwaani! Angeongea kamati kuu angejibiwa huko na tusingesikia hizi chokochoko zote, hata angeongea bungeni angejibiwa huko bungeni, wangebishana, angeweza hata kutoa ufafanuzi. Haya maamuzi mengine aliyofanya ni uoga na ujinga wakeHili haliachi alama nzuri kwa Taifa letu! Hata Ndugai awe amekosea kiasi gani lakini ipo mbegu mbaya sana imepandwa ambayo toka uhuru haijawahi kutokea!
Tuna safari ndefu sana na kutokubaliana na Ndugai kwenye mengi hakufanyi nipuuze namna alivyoshughulikiwa pamoja na nafasi yake.
Hakuna lolote hapo maana wote ni sukuma gangMfungo wa massa 72 Toka kwa mchungaji Gwajima hatimae Mungu amesikia Sala na maombi yake.
Amaleki ndio hivyo Tena. Kaondoka mwenyewe. Keeli Mungu hujibu maombi.