Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mbona kaandika kwa herufi kubwa, anaemfokea ni Nani kwani[emoji3525]
 
Amechelewa kuchukua maamuzi, ule msamaha alioomba ilitakiwa uendane na kujiuzulu.
 
Habari njema na Nuru mpya Kwa democrasia , uhuru wa kweli na haki katika taifa letu nauona mwanzo mpya Kwa bunge litakalo tekeleza wajibu wake ipasavyo, Sasa tuhamie Kwa wale wa NEC na wanaokwamisha kupatikana katiba mpya .
Hujui hata unachoandika yaani huoni kama huyo spika ajaye ndio atakuwa meaningless kabisa maana hatosema kitu hata kama ni kibaya kwa kuogopa yaliyomkuta mtangulizi wake, au democracy ni kila asemacho/afanyacho Rais kila mtu lazima aseme YES

Tanzania inapoteana na watanzania wenyewe wapo tu as if kila mtu ameisusa nchi so aliye on top anafanya anachojisikia bila bughuza yoyote. Ila twende tu Time will tell

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sukumq gang
 
Mbona hajashughulikiwa popote? Yeye aliongea jukwaani na akajibiwa majukwaani! Angeongea kamati kuu angejibiwa huko na tusingesikia hizi chokochoko zote, hata angeongea bungeni angejibiwa huko bungeni, wangebishana, angeweza hata kutoa ufafanuzi. Haya maamuzi mengine aliyofanya ni uoga na ujinga wake
 
Mfungo wa massa 72 Toka kwa mchungaji Gwajima hatimae Mungu amesikia Sala na maombi yake.

Amaleki ndio hivyo Tena. Kaondoka mwenyewe. Keeli Mungu hujibu maombi.
Hakuna lolote hapo maana wote ni sukuma gang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…