mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,173
- 3,443
Sasa Mimi Kama kondoo ngoja nianze kutawanyika...maana mchungaji amepigwa kitu kizito,,[emoji1787]Nyie kondoo lazima mtawanyike hakuna namna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa Mimi Kama kondoo ngoja nianze kutawanyika...maana mchungaji amepigwa kitu kizito,,[emoji1787]Nyie kondoo lazima mtawanyike hakuna namna
Watakuwa wamefanya Jambo la mbolea....hawana haki ya kukaa muleKwa tabia ya wana ccm lazima watawakali kooni hao covid hadi watolewe bungeni
Ninavyowajua wanaccm, 90% yao sasahivi watakuwa wanachekelea chooni
Imetoka akaunti maalum ya Bunge🐒
Huyu ana siku chache Sana Kabla ya kumfuata Jiwe.Karma is the bitch. Dhambi ya kumnyanyasa Lisu haitamuacha. Hata akijiuzulu bado mabalaa yatamwandama
Endelea kuamini ni fake.Hii fake.
Hii ni kawaida wakifa madikteta wote Duniani.Nchi inayumba yumba,haijatulia kabisa toka Magufuli aondoke.
Ngoja nikureport upigwe ban ... ubaya ubaya tuYani huyu msenge alishirikiana sana na jiwe kuumiza watu...i hate him.
Da Lema ni Nabii aiseeMuheshimu sana Lema ni Nabii kwelikweli.View attachment 2070831
Hebu na wewe katafute mavi ya kuku ubanje.Shinikizo la kutaka Spika ajiuzulu ktk nafasi yake limeshikiwa bango zaidi na wafuasi wa Mbowe/Chadema.
Niwazi kabisa Spika alikuwa mwiba mkali sana kwa ktk kusimamia sheria na kanuni za mbunge na haswa kwa wapinzani ambao walitaka kuleta mchezo.
Sasa leo hii hatuwezi kushangaa kuona genge la Mbowe likishangilia na kupiga mayowe eti Spika ajiuzulu.
Kamwe wana CCM Makini wasikubali kuingia ktk mtego huuu.
Inatosha na Inatosha sana kwa kitendo cha kiungwana alicho kifanya Spika cha kuomba radhi.
Kamwe tusikubali kuendelea kumdhalalisha Spika wetu aliye fanya kazi kwa umahiri mkubwa na kuisaidia nchi yetu.
Ni vyema wana CCM wakawa makini ktk kipindi hiki cha upepo mbaya, wapaswa kuwa watulivu na nidhamu ya hali ya juu.
Mungu Ibariki Tanzania.
Kazi iendeleee kama kawaida.
UjuajiHii fake.
Hamna lolote,Hili haliachi alama nzuri kwa Taifa letu! Hata Ndugai awe amekosea kiasi gani lakini ipo mbegu mbaya sana imepandwa ambayo toka uhuru haijawahi kutokea!
Tuna safari ndefu sana na kutokubaliana na Ndugai kwenye mengi hakufanyi nipuuze namna alivyoshughulikiwa pamoja na nafasi yake.