Spika Job Ndugai, amejiuzulu Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Gwajima maombi yake ya kumuondoa amaleki yamefanikiwa. Kwa hakika upepo inapoendelea kuvuma CCM bado yajayo yanafurahisha. Mungu na atupe uzima.
 
Wakiona hii inawagharimu kisiasa, Ndugai anaweza kutakiwa kukanusha na hapo itategemea na msimamo wake. All in all, hali si shwari ndani ya CCM.
 
Hebu na wewe katafute mavi ya kuku ubanje.
 
Nchi hii bana noma Sasa uhuru wake uko wapi hongera mzee heri nusu Shari kuliko Shari kamili wewe ni shujaa umethubutu Mungu atakuvesha hii ni aibu ya dunuani Kwa Mungu uko salama kwani mang'ung'uniko c mazuri ya wanadamu baki na ubunge wako kwani cheo ni dhamana
 
Reactions: nao
kitendo cha Muhimili mmoja kuweza kushinikiza mkuu wa Muhimili mwingine kujiuzulu ni hatari kwa nchi.

Ni dalili ya Taifa ambalo limefika mwisho na limekufa.Siyo jambo la kushangilia kwa yeyote yule mwenye akili timamu.
 
Hamna lolote,
Mungu yupo kazini kutuondolea mashetani.
Huyu ni shetani wa pili kuondoka kwenye mfumo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…