Mnyanyembe wa Mboka
JF-Expert Member
- Feb 10, 2017
- 2,348
- 3,038
Ulivyo boya unajiona umecomment kitu cha msiingiUlivyo pimbi unajiona umepost jambo la maana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulivyo boya unajiona umecomment kitu cha msiingiUlivyo pimbi unajiona umepost jambo la maana.
Hivi hamuoni kile kinundu cha kansa ya ubongo kwenye fuvu lake mnategemea huyu mtu atakua ana akili timamu kweliKumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu utendaji wa Spika wa Bunge Job Ndugai tokea awe na cheo hicho 2015.
Ameharibu sana bunge na kulifedhehesha akimhusisha na kufanya kazi pamoja Rais aliyepita marehemu Magufuli..
Wagogo hawana aibu wala hawajui vibayaANGEKUWA NI MTU MWENYE BUSARA KUSEMA KWELI BAADA YA KUSUTWA KWA KIWANGO HICHO, ANGECHUKUA HATUA YA KUOMBA APUMZIKE NA MTU MWINGINE APOKEE KIJITI CHA KUWA SPIKA. KWA KUFANYA HIVYO ATABAKIA NA HIYO HESHIMA KIDOGO ILIYOBAKI!
Hoja ni Bunge kunajisiwa na Ndungai. Tumia japo hako ka akili kiduchu ulikobakishiwa.Kwanini usimwambie Mbowe ajiuzulu kwa kushindwa kuipelekea chadema ikulu kwa chaguzi zote 5 alizoshiriki?
Nyie ndiyo Samia anawaita wazushi, mkomeKumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu utendaji wa Spika wa Bunge Job Ndugai tokea awe na cheo hicho 2015. Ameharibu sana bunge na kulifedhehesha akimhusisha na kufanya kazi pamoja Rais aliyepita marehemu Magufuli...
Heshima ipi ?ANGEKUWA NI MTU MWENYE BUSARA KUSEMA KWELI BAADA YA KUSUTWA KWA KIWANGO HICHO, ANGECHUKUA HATUA YA KUOMBA APUMZIKE NA MTU MWINGINE APOKEE KIJITI CHA KUWA SPIKA. KWA KUFANYA HIVYO ATABAKIA NA HIYO HESHIMA KIDOGO ILIYOBAKI!
Kama hoja ni hiyo hata Mbowe kafeli kabisa kuipeleka chadema ikulu kwa hiyo ni wakati mwambieni apishe wenye mbinu mpya!Hoja ni Bunge kunajisiwa na Ndungai. Tumia japo hako ka akili kiduchu ulikobakishiwa.
Wajinga ndivyo mlivyo.Ulivyo boya unajiona umecomment kitu cha msiingi
Yote haya yamesababishwa na ccm kugeuka kuwa genge la kugawiana uongozi badala ya kuongoza.Kumekuwa na malalamiko mengi sana kuhusu utendaji wa Spika wa Bunge Job Ndugai tokea awe na cheo hicho 2015...
Umempa uppercut kama za Mwakinyo [emoji1787][emoji1787]Hoja ni Bunge kunajisiwa na Ndungai. Tumia japo hako ka akili kiduchu ulikobakishiwa.
Linaweza kusema "mama afike mwenyewe kwenye kamati jumamosi, aje kwa hiari la sivyo ataletwa kwa pingu"Mama Samia amesema bunge letu ni DHAIFU (halina afya) na limejaa wacheza ngoma!
Na ndugai ndio mcheza ngoma mkuu?
Ndugai muite mama haraka kwenye kamati, usikubali dhihaka!
Kwani bunge ni la jirani au la Tanzania?Kama hoja ni hiyo hata Mbowe kafeli kabisa kuipeleka chadema ikulu kwa hiyo ni wakati mwambieni apishe wenye mbinu mpya!
Kabla hujamwambia jirani afagie uwanja hakikisha wako uko safi.
Hivi hamuoni kile kinundu cha kansa ya ubongo kwenye fuvu lake mnategemea huyu mtu atakua ana akili timamu kweli
Kila mwenye akili timamu anajua kabisa kuwa Chadema haikushindwa kwenye uchaguzi mkuu uliopita bali CCM kwa kutumia mabavu ya vyombo vya dola waliiba kura.Kama hoja ni hiyo hata Mbowe kafeli kabisa kuipeleka chadema ikulu kwa hiyo ni wakati mwambieni apishe wenye mbinu mpya!
Kabla hujamwambia jirani afagie uwanja hakikisha wako uko safi.
Ndio maana mtabaki kuitwa wapinzani hadi mnaingia kaburini! Na Mbowe anajivunia sana wafuasi aina yako msiojua kuhoji chochote zaidi ya kupiga tu makofi.Kila mwenye akili timamu anajua kabisa kuwa Chadema haikushindwa kwenye uchaguzi mkuu uliopita bali CCM kwa kutumia mabavu ya vyombo vya dola waliiba kura. Wewe kwa kigezo cha uchaguzi mkuu unachotumia kumhukumu Mbowe ni dhahiri wewe ni kibajaji, yaani kifupi huna akili. Na wenye haki ya kuhoji uwezo wa Mbowe kuongoza Chadema ni wana Chadema wenyewe waliomchagua.
Una kera maujinga matupuKwanini usimwambie Mbowe ajiuzulu kwa kushindwa kuipelekea CHADEMA Ikulu kwa chaguzi zote 5 alizoshiriki?
KufaUna kera maujinga matupu