Kelele ni nyingi kuhusu kodi za mafuta na tozo za matumizi ya simu.
Mwananchi analalamika.
Mbunge anaipongeza kwa asilimia 100%.
Je mbunge anamsimamia mwananchi aumie nakumsifu serikali amuumize mwananchi?
Bado miaka 4 tuendelee kwenye mitandao kulalamika?
Au Kijiji/kata umwite mbunge eneo husika kisha wananchi tuwe na sauti moja kwa mbunge.
Mwananchi analalamika.
Mbunge anaipongeza kwa asilimia 100%.
Je mbunge anamsimamia mwananchi aumie nakumsifu serikali amuumize mwananchi?
Bado miaka 4 tuendelee kwenye mitandao kulalamika?
Au Kijiji/kata umwite mbunge eneo husika kisha wananchi tuwe na sauti moja kwa mbunge.