Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Kuna jamaa yangu mmoja yuko hapa Dar wiki hii ya pili sasa, kituo chake na familia yake ni Dom... Chakula malazi na kinywaji vyote ni hotelini.... Najiuliza hizi gharama zina uhalali wowote ?
Tunaibiwa sana sisi watanzania
 
Tamisemi ilishahamia Dodoma miaka 20 iliyopita . Je hukuliona hili?
Huna akili kabisa
 
Actually ikifika hatua fulani ya maisha ukaanza kuona wewe unaonewa basi mara nyingi huwa iko shida fulani.

Au wengine utakuta wanasema wanaroho ya kukataliwa!

Roho ya kukataliwa gani?

Imeandikwa; “Je mkitenda mema hamtapata kibali?! “

Kanuni mojawapo ya kukubarika na watu au kupendwa na watu ni pamoja na kutenda mema.

Tendea watu mema, wape watu zilizo haki zao, timiza wajibu wako kwa wakati, jisimamie, uone kama utachikiwa na watu au kuonewa na mtu yeyote!
 
Tamisemi ilishahamia Dodoma miaka 20 iliyopita . Je hukuliona hili?
Huna akili kabisa

Mwenye akili ni wewe ambaye umeacha nyumba za serikali zilizo za idadi ya kuridhisha DSM unaenda Dodoma kupangishia wafanyakazi wa serikali kutapanya kodi kama huu si ujinga tuite nini labda?! Bado institution ya ndoa ambayo imejeruhiwa sana kwa maamuzi haya ya kuwahamishia watumishi wa umma Dodoma kwa kukurupuka. Dodoma ni mradi tu wakuwatafutia wakandarasi artificial soko sasa sijui mlikuwa na intrest gani huko kwenye biashara za ukandarasi.
 
Kweli hii nchi siyo ngumu ila wananchi na viongozi wake ndiyo wagumu...
 

Acha kunukuu Neno la Mungu kwa kuunga unga. Ayubu alisema nilikuwa macho kwa vipofu, mguu na mikono kwa vilema kwa maana ya roho nzuri na kutoa misaada lakini bado alipigika.
 
Kutolalamika kipindi kile kwa ufujaji na matumizi ya hovyo ya JPM hakuharalishi ufujaji na matumizi ya hovyo ya SASHA
 
Watanzania siyo mbumbumbu. Tunaona yanayotendeka. RIP Magu
 
Kuna jamaa yangu mmoja yuko hapa Dar wiki hii ya pili sasa, kituo chake na familia yake ni Dom... Chakula malazi na kinywaji vyote ni hotelini.... Najiuliza hizi gharama zina uhalali wowote ?

Hizi sio halali. Baadhi ya wafanyakazi wa serkali wanaona kama ni sehemu ya kujiongezea kipato.
 
Acha kunukuu Neno la Mungu kwa kuunga unga. Ayubu alisema nilikuwa macho kwa vipofu, mguu na mikono kwa vilema kwa maana ya roho nzuri na kutoa misaada lakini bado alipigika.


Mmnh!

Kwa hiyo unataka kuandikaje kwa mfano?!
 
Kutolalamika kipindi kile kwa ufujaji na matumizi ya hovyo ya JPM hakuharalishi ufujaji na matumizi ya hovyo ya SASHA
Ok! Kinachoshangaza kundi lilelile kilichokuwa kinadai Rais ni Taasisi na Ikulu ni popote nchini Tanzania leo inalalamikiaje jambo lilelile? Hapo ndo tunapoona figisu za Ndugai na kundi lake against Rais SSH
 
Kwani yeye ghaama za matibabu India nani aliidhinisha!?
 
tatizo mama naye analegeza jicho mno, hivyo wanamchukulia poa.
 
Contradiction is the CCM's order of the day. Fund embezzlement on the expense of its citizens. "Tozo kwenye kila aina ya huduma ili wakubwa waendelee kutumbua".
 
Jibu la swali Ndugai analijua Rais ndiyo anatoa pesa. Bunge lake limepuuzwa.
 
Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo,
 
Yule mwingine alikuwa anakaa Chato siku kadhaa na timu yake yote inalipwa perdiem ila Ndugai hakuwahi kuhoji.

MA-CCM sio ya kuamini.
Yule alikuwa Mkorofi naona hakutaka kujibizana nae.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…