Spika Ndugai ahoji shughuli za Serikali kurudi Dar, ataka kujua ni nani anayedhibiti matumizi ya Serikali kwa sasa

Uelekeo wa uchumi wa sasa ni upi ?
 
Mtaparaganyika tu, tulijua..mlisema Lema na Msigwa na wengine wanakwamisha maendeleo. haya sasa

Nyie si mlisema mnahamia Dodoma sasa kulikoni safari za Dar kila siku kutuwekea jam?
 
ENDAPO MAWAZIRI AU WAHUSIKA WAPO DODOMA BASI MAKONGAMANO HAYO YAFANYIKE DODOMA,MADHANI WAPO WANAJARIBU KUFANYA YAO ALIMRADI MPENDWA LETU RAIS AONEKANE WEAK,MFANO MWINGINE NI GJARAMA ZA UKARABATI WA NYUMBA ZILIVYO ZA AJABU AJABU,what is that? That's mean kumuumiza mwananchi ili ili amchukie kiongozi.
 
Rais wanamchezea
 
Mzee Ndugai mbona na wewe ulilipwa Posho ulipoenda India

Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Uelekeo wa uchumi wa sasa ni upi ?
Uchumi wa soko sio centrallised kama wa Magu lazima serikali ifanye Kazi na sekta binafsi ikiwemo hizo makongamano kwenye kumbi binafsi kutanua mzunguko wa helaa.

Ndio maana hata ujenzi wa mji mkuu kwa sasa kuna kampuni binafsi na sio za serikali tuu.
 
Fangabulo huyo huyo sabuwuufa! Mbona waliohoji posho za wabunge wanawekwa kiti moto?
 
Na Jumong anaongoza! Mara ya mwisho JPM alifanya ziara Mkoa wa Dar es Salaam it means tayar alikuwa kashamaliza total kuamia Dodoma. Sasa Jumong wiki 2 Dar, siku 3 Dodoma yani amekuwa kama nini sijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…