minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Halima mdee na covid 19 sasa wanatetewa na wale waliowabambikia kesi kuwapiga risasiNdio mnaamka sasa? Toka lini wezi wa kura wakawa waadilifu? Kama ni mkweli anzia kwenye zoezi zima lilitoa hao wabunge, mchakato ule haukuwa wa kiadilifu, unategemea spika wa bunge kama hilo awe muadilifu?