kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Twende buguruni shell tukaandamane lissu anatusubiri!Katika watu ambao hamnaga akili wewe ni mmojawapo. Kinaongelewa kingine unajibu lingine. Hebu jaribu kuwa na hoja kama wenzako kina babtist ambao ni CCM wenzako wenye hoja za msingi wakati fulani na sio kuropoka upuuzi kila wakati.