Spika Ndugai apinga agizo la Serikali kuzuia wanafunzi kusoma wakati wa likizo, aahidi kulifikisha Bungeni

Spika Ndugai apinga agizo la Serikali kuzuia wanafunzi kusoma wakati wa likizo, aahidi kulifikisha Bungeni

msovero

JF-Expert Member
Joined
Jun 30, 2019
Posts
863
Reaction score
1,534
Ikiwa ni wiki chache zimepita tangu serikali iweke marufuku ya wanafunzi kusoma wakati wa likizo ili wapate muda wa kupumzika na kujifunza stadi mbali mbali za maisha wakiwa nyumbani, spika Job Ndugai amepinga vikali zuio hilo akidai kuwa linachelewesha maendeleo.

Spika Ndugai amesema wananchi wa kongwa walikuwa wamejipanga wanafunzi kusoma wakati wa likizo huku wakiwa tayari kujitolea kwa chakula pamoja na motisha kwa walimu ambao wangejitolea kufundisha wanafunzi hao na hivyo amedai kwamba kitendo cha serikali kuweka zuio ni kuchelewesha maendeleo kwani wanafunzi wanaosoma wakati wa likizo ni madarasa ya mitihani pekee.

Katika hatua nyingine, spika Ndugai amedai kuwa watu wanamdharau kwakuwa yeye ni 'mgogo' huku akiwashukia vikali vijana wenye digrii kuwa ndio wanaoongoza kwa kumtukana mitandaoni.
 
Hapa kuna Point Tatu...
Moja kwanini hao waalimu wasihakikishe vitu vinamalizika within a given time ?

Mbili Walioweka muda wa Likizo walikosea ?

Tatu Serikali isipinge kwa wale wanaohitaji ziada / marudio ila muda wa likizo usitumike kufanya kile ambacho inatakiwa / ingetakiwa kufanyika wakati wa masomo
 
Bunge gani atafikisha hicho anachopinga kutoka serikalini?hivi kweli nchi hii ina bunge?pesa yote ya maendeleo inatoka pale magigoni!Pls aliyena cell number yake amfikishie ujumbe huu,Bunge lake limepoteza haki ya kusimamia fedha hii na yeye alikua ni frontman !
 
Ikiwa ni wiki chache zimepita tangu serikali iweke marufuku ya wanafunzi kusoma wakati wa likizo ili wapate muda wa kupumzika na kujifunza stadi mbali mbali za maisha wakiwa nyumbani, spika Job Ndugai amepinga vikali zuio hilo akidai kuwa linachelewesha maendeleo.

Spika Ndugai amesema wananchi wa kongwa walikuwa wamejipanga wanafunzi kusoma wakati wa likizo huku wakiwa tayari kujitolea kwa chakula pamoja na motisha kwa walimu ambao wangejitolea kufundisha wanafunzi hao na hivyo amedai kwamba kitendo cha serikali kuweka zuio ni kuchelewesha maendeleo kwani wanafunzi wanaosoma wakati wa likizo ni madarasa ya mitihani pekee.

Katika hatua nyingine, spika Ndugai amedai kuwa watu wanamdharau kwakuwa yeye ni 'mgogo' huku akiwashukia vikali vijana wenye digrii kuwa ndio wanaoongoza kwa kumtukana mitandaoni.
Vijana wenye degree ni mwiba mchungu kwa Mr job 🤣🤣🤣🤣
 
Aliyeanza kuipinga vikali serikali yao kwenye jambo hili ni RC wa Dodoma Mh. Antony Mtaka

Tena yeye alipinga vikali na kuwararua wanasiasa wasiojua lolote ambao watoto wao wanapelekwa tuition ndani ya mavieiteee yenye mikonga na bendera ya Nchi

Akili imeanza sasa kurudi kwa bwana Job Ndugai
 
Ikiwa ni wiki chache zimepita tangu serikali iweke marufuku ya wanafunzi kusoma wakati wa likizo ili wapate muda wa kupumzika na kujifunza stadi mbali mbali za maisha wakiwa nyumbani, spika Job Ndugai amepinga vikali zuio hilo akidai kuwa linachelewesha maendeleo.

Spika Ndugai amesema wananchi wa kongwa walikuwa wamejipanga wanafunzi kusoma wakati wa likizo huku wakiwa tayari kujitolea kwa chakula pamoja na motisha kwa walimu ambao wangejitolea kufundisha wanafunzi hao na hivyo amedai kwamba kitendo cha serikali kuweka zuio ni kuchelewesha maendeleo kwani wanafunzi wanaosoma wakati wa likizo ni madarasa ya mitihani pekee.

Katika hatua nyingine, spika Ndugai amedai kuwa watu wanamdharau kwakuwa yeye ni 'mgogo' huku akiwashukia vikali vijana wenye digrii kuwa ndio wanaoongoza kwa kumtukana mitandaoni.
Huyu Pimbia ana virus vinamsumbua walai
 
Ikiwa ni wiki chache zimepita tangu serikali iweke marufuku ya wanafunzi kusoma wakati wa likizo ili wapate muda wa kupumzika na kujifunza stadi mbali mbali za maisha wakiwa nyumbani, spika Job Ndugai amepinga vikali zuio hilo akidai kuwa linachelewesha maendeleo.

Spika Ndugai amesema wananchi wa kongwa walikuwa wamejipanga wanafunzi kusoma wakati wa likizo huku wakiwa tayari kujitolea kwa chakula pamoja na motisha kwa walimu ambao wangejitolea kufundisha wanafunzi hao na hivyo amedai kwamba kitendo cha serikali kuweka zuio ni kuchelewesha maendeleo kwani wanafunzi wanaosoma wakati wa likizo ni madarasa ya mitihani pekee.

Katika hatua nyingine, spika Ndugai amedai kuwa watu wanamdharau kwakuwa yeye ni 'mgogo' huku akiwashukia vikali vijana wenye digrii kuwa ndio wanaoongoza kwa kumtukana mitandaoni.
Jimboni kongwa,wananchi wakiwawanashangilia kuetwa maji kila nyumba

FB_IMG_1620883433830.jpg
 
Ikiwa ni wiki chache zimepita tangu serikali iweke marufuku ya wanafunzi kusoma wakati wa likizo ili wapate muda wa kupumzika na kujifunza stadi mbali mbali za maisha wakiwa nyumbani, spika Job Ndugai amepinga vikali zuio hilo akidai kuwa linachelewesha maendeleo.

Spika Ndugai amesema wananchi wa kongwa walikuwa wamejipanga wanafunzi kusoma wakati wa likizo huku wakiwa tayari kujitolea kwa chakula pamoja na motisha kwa walimu ambao wangejitolea kufundisha wanafunzi hao na hivyo amedai kwamba kitendo cha serikali kuweka zuio ni kuchelewesha maendeleo kwani wanafunzi wanaosoma wakati wa likizo ni madarasa ya mitihani pekee.

Katika hatua nyingine, spika Ndugai amedai kuwa watu wanamdharau kwakuwa yeye ni 'mgogo' huku akiwashukia vikali vijana wenye digrii kuwa ndio wanaoongoza kwa kumtukana mitandaoni.
Alidhani ccm ikiwa peke yake bungeni na kuruhusu ununuzi wa makundi ya upinzani yatambakisha salama milele, ni wazi sasa ccm inamtafakari ndugai na soon atakuwa uraiani pale kongwa
 
Watani zangu poleni Sana sisi wanatuita Sukuma gang na washamba hawa Wahuni pamoja na chadema kisa tu kupiga vita ufisadi
 
Back
Top Bottom