Spika Ndugai asema Tume ya Taifa ya Uchaguzi na Mahakama pekee wanaweza kumuambia kuwaondoa Bungeni Wabunge 19 wa Viti Maalum CHADEMA

Spika anachagua vifungu vya kufuata.Huyu spika angekuwa nchi za wenzetu angeshafukuziliwa mbali
 
Fact Sana mkuu.
 

Huu ni ushahidii tosha kuwa nchi inaongozwa na watu wasiokuwa na uwezo na busara ya kuwa viongozi wa Taifa letu. Jiwe na Ndugai wake are just PRETENDERS!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…