Spika Ndugai ataka Walimu waongezewe kazi wafundishe masomo kuanzia matatu ili kupunguza uhaba wa Walimu

Wala hautakiwi kuumiza kichwa. Unaburuza tu bora liende. Watajijua wenyewe. Wanafikiri kufundisha ni kazi nyepesi.
Fikiria unaambiwa ufundishe Physics, Chemistry, Biology na Mathematics A-level.
Mziki wake unauonaje?
 
Hayo masomo matatu hadi matano ya kufundishwa na mtu mmoja ni masomo gani hayo?

Yani kwa mfano mwl afundishe masomo yafuatayo:

Physics
Geography
Chemistry
Biology
Kiswahili

[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Ndugai BURE kabisa.
Kuna kusahihisha madftari ya watoto, na madarasa ndio yamejazwa watoto 100 - 400 kwa darasa.
DHAIFU wa AKILI na kinga za mwili anavimbiwa kodi zetu anajiona mzima na timamu. Bure kabisa.
 
Hayo masomo matatu hadi matano ya kufundishwa na mtu mmoja ni masomo gani hayo?

Yani kwa mfano mwl afundishe masomo yafuatayo:

Physics
Geography
Chemistry
Biology
Kiswahili

[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]

Ndugai BURE kabisa.
Hii nchi inatawaliwa na viongozi wenye uwezo mdogo wa kufikiri kiasi cha kushangaza wameingiaje madarakani! Kila siku wanatoa matamko yaliyojaa mkanganganyiko mpaka inashangaza.
 
Speaker
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
Ccm Hoyee!😂😁
 
Hilo somo moja wanafunzi wangapi? Tuanzie hapo.
Tatizo sio idadi ya ya masomo anayofundisha mwalimu bali uwiano wa wanafunzi na walimu.
Shule za msingi mwalimu anaweza kufundisha karibu masomo yote na hii haijaweza kutatua tatizo la walimu
 

Shida ya watu wa CCM huwa wanajiona wazalendo na wana uwezo mkubwa wa kufikiri kuliko watu wengine wote.
 
Hivi huyu mtu ana elimu gani(amesomea nini??) ningependa kujua maana katika empty set ninazozijua huyu ni wa kwanza yaan katika sector ya poor reasoning nampa cheo cha brigedia general
 
Wakiongezewa masomo ya kufundisha pia waongezewe mishahara,anayepokea 800,000 akiongezewa masomo mawili alipwe 2,400,000 kila somo na mshahara wake,kama wao wanavyopata posho kila kikao
 
Huyu spika ni boya tu.
Huwezi kuongeza tija kwa mwanafunzi kwa kumuongezea mzigo wa masomo mwalimu.Halafu masomo matano chuo kikuu mtu atayasomaje? Lazima mwalimu afundishwe partially sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…