Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,315
- 5,058
SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Mengi mnayoyasikia wakati mwingine sio kweli kihivyo, nchi yetu ina upotoshaji mkubwa sana wa mambo mengi, na sisi viongozi siwezi kusimama leo nifafanue hili, kesho nifafanue lile, keshokutwa nifafanue lile.
Niseme ukweli, kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha sio kwasababu nina pungufu lolote, kwasababu mimi mgogo, dharau ile, muwe mnaelewa vitu vingine, kabisa ninawaambieni.
Huyu ataongea kitu gani! Wana akili hawa! Yaani umeshaharauliwa hata kabla haujapanda ile ngazi, wako wenye attitude za namna hiyo, sasa baadhi ya vijana wetu nao wanapiga madongo kumbe haelewi kinachosumbua hapa ni nini! Ni attitude tu.
Na wakati mwingine mnakuwa hamjapata ufafanuzi wa jambo lenyewe likoje na sababu zake ni zipi"
Spika wa Bunge
Job Ndugai
"Mengi mnayoyasikia wakati mwingine sio kweli kihivyo, nchi yetu ina upotoshaji mkubwa sana wa mambo mengi, na sisi viongozi siwezi kusimama leo nifafanue hili, kesho nifafanue lile, keshokutwa nifafanue lile.
Niseme ukweli, kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha sio kwasababu nina pungufu lolote, kwasababu mimi mgogo, dharau ile, muwe mnaelewa vitu vingine, kabisa ninawaambieni.
Huyu ataongea kitu gani! Wana akili hawa! Yaani umeshaharauliwa hata kabla haujapanda ile ngazi, wako wenye attitude za namna hiyo, sasa baadhi ya vijana wetu nao wanapiga madongo kumbe haelewi kinachosumbua hapa ni nini! Ni attitude tu.
Na wakati mwingine mnakuwa hamjapata ufafanuzi wa jambo lenyewe likoje na sababu zake ni zipi"
Spika wa Bunge
Job Ndugai