Spika Ndugai: Baadhi ya watu wananiandika vibaya kwasababu mimi Mgogo

Spika Ndugai: Baadhi ya watu wananiandika vibaya kwasababu mimi Mgogo

SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo https://t.co/JmhLQzphKhView attachment 2061332
Anaandikwa vibaya kwa ufisadi wake wa kuiingiza wabunge hewa wale covid 19, kutumia bilioni 29 kwa matibabu hewa na kulifanya Bunge kuwa kusanyiko la mazuzu. Huko kuhusisha kabila lake ni inferiority complex inamtafuna
 
Heshima ya mtu ni tabia na mwenendo, mtu hadharauliwi au kuheshimiwa kwa sababu ya kabila lake. Ndugai ndiye aliyehakikisha bunge linakuwa la chama kimoja, kwa nn usidharauliwe kwa hilo?
 
Malechela,Le Mutuzi,Ben Pal,Job Ndugai,Mavunde,Juma Nkamia,Matonya hawa ni baadhi tu ya Wagogo ambao ni Icons....ukijua tabia zao utaelewa kwa nini tunasema WAKOMA wana akili za hovyo.
Kweli hili kabila ni kiboko! Umemsahau na kibajaji..
 
Back
Top Bottom