Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huyu mjinga asijifiche kwenye kabila lake, tatizo ni matendo yake ya kishetani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ameishiwa hoja tena mke wake ni RAS wa Dodoma na wakati alipata hati chafu akapewa promotion badala ya kushitakiwa mahakamaniMbona Simbachawene ni mgogo?
Mavunde ni mgogo?
Kibajaji ni mgogo?
Le mutuz ni mgogo?
Ni mshenzi sn huyu mzeeHahaahhaahh,Alikuwq anajifanya huyu enzi za Jiwe .
Poa mkuu 🙌🙌Naomba usiniletee upuuzi
Anaandikwa vibaya kwa ufisadi wake wa kuiingiza wabunge hewa wale covid 19, kutumia bilioni 29 kwa matibabu hewa na kulifanya Bunge kuwa kusanyiko la mazuzu. Huko kuhusisha kabila lake ni inferiority complex inamtafunaSPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo https://t.co/JmhLQzphKhView attachment 2061332
Kumbe ni familia ya kifisadi hiiAmeishiwa hoja tena mke wake ni RAS wa Dodoma na wakati alipata hati chafu akapewa promotion badala ya kushitakiwa mahakamani
Kweli hili kabila ni kiboko! Umemsahau na kibajaji..Malechela,Le Mutuzi,Ben Pal,Job Ndugai,Mavunde,Juma Nkamia,Matonya hawa ni baadhi tu ya Wagogo ambao ni Icons....ukijua tabia zao utaelewa kwa nini tunasema WAKOMA wana akili za hovyo.
Hivi hii ni kweli? Sisi Chadema tuna mambo.
Bila kumsahau polofesa wa majalalani Yule mwenye macho kama bundiKweli hili kabila ni kiboko! Umemsahau na kibajaji..
Kuna Wagogo na Magogo.Mbona Simbachawene ni mgogo?
Mavunde ni mgogo?
Kibajaji ni mgogo?
Le mutuz ni mgogo?
Huyu mzee ni shetani kabisaMtu hudharauliwa au kuheshimika kwa matendo na hata maneno yake, iwapo Moja kati ya haya mawili yametokea yafaa kutafakari kwanini hili limetokea
birds of the same fether.......Mbona Simbachawene ni mgogo?
Mavunde ni mgogo?
Kibajaji ni mgogo?
Le mutuz ni mgogo?
Imejaa utapeli tupu alikuwa DED BahiKumbe ni familia ya kifisadi hii
Au Ndungai ni mkonongo?Kuna Wagogo na Magogo.
Wewe na yeye akili zenu ni sawa tuSPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo https://t.co/JmhLQzphKhView attachment 2061332
Huko CCM hakuna watu wa maana ndiyomaana ikabidi zuzu apewe hicho cheo.Jamaa alikuwaje speaker? Ila haya maneno mnaweka Na ushahidi....