Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Wewe ni chadema na nani?Hivi hii ni kweli? Sisi Chadema tuna mambo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni chadema na nani?Hivi hii ni kweli? Sisi Chadema tuna mambo.
Juma Nkamia ni Mgogo au Mrangi yule?Malechela,Le Mutuzi,Ben Pal,Job Ndugai,Mavunde,Juma Nkamia,Matonya hawa ni baadhi tu ya Wagogo ambao ni Icons....ukijua tabia zao utaelewa kwa nini tunasema WAKOMA wana akili za hovyo.
Wagogo hua wako inferior sana sijui kwa nini
Nkamia siyo mgogo bali Mrangi OG.Malechela,Le Mutuzi,Ben Pal,Job Ndugai,Mavunde,Juma Nkamia,Matonya hawa ni baadhi tu ya Wagogo ambao ni Icons....ukijua tabia zao utaelewa kwa nini tunasema WAKOMA wana akili za hovyo.
Malechela,Le Mutuzi,Ben Pal,Job Ndugai,Mavunde,Juma Nkamia,Matonya hawa ni baadhi tu ya Wagogo ambao ni Icons....ukijua tabia zao utaelewa kwa nini tunasema WAKOMA wana akili za hovyo
Hao wote madish yameyumbaMbona Simbachawene ni mgogo?
Mavunde ni mgogo?
Kibajaji ni mgogo?
Le mutuz ni mgogo?
its shameful........ mtu kama huyu anashindwa kuona substance kwenye reactions za watu kuhusu arguements zake anahusisha reactions za public na ukabila "UGOGO"View attachment 2061585
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Swahili Times , Hii ni baada ya Kauli yake ya nchi kupigwa mnada kutokana na mikopo , ambako wadau kadhaa wamejitokeza , si tu kumpinga bali pia kumshangaa kutokana na ukweli kwamba Yeye Ndugai ni miongoni mwa viongozi wa Tanzania ambao wameifikisha nchi hii hapa ilipo.
Baada ya kuzidiwa na mawe kila pembe Job Ndugai anatengeneza kichaka cha ukabila , Eti anaandikwa vibaya kwa vile yeye ni Mgogo .
Hivi huyu jamaa alitaka tuandikeje jambo hili ?