Spika Ndugai: Baadhi ya watu wananiandika vibaya kwasababu mimi Mgogo

Spika Ndugai: Baadhi ya watu wananiandika vibaya kwasababu mimi Mgogo

Hapa napata picha, ukifanya mambo ya kijinga, basi usijifanye unamawazo tofauti, kaa kimya sababu hauna dhamani ya kukosoa wala kushauri, na wengi wanakuona mjinga hivyo watakupinga tu hata kama unapointi, hayo ni madhara ya Covid-19, kuiba kura na kuingiza Covid-19 bungeni kumekushusha sana!
 
Wagogo tunajijua sema tunajibaraguza Mbele ya makamera tu
 
Wagogo huwa wako inferior sana sijui kwa nini
Umaskini upo nchi nzima, lakini baadhi ya wagogo walijikita katika kuombaomba barabarani wakiongozwa na Matonya.

Hili suala la kuombaomba barabarani kwa baadhi ya wagogo liliwashushia sana heshima.


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom