Spika Ndugai: Baadhi ya watu wananiandika vibaya kwasababu mimi Mgogo

Spika Ndugai: Baadhi ya watu wananiandika vibaya kwasababu mimi Mgogo

SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI

"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo
View attachment 2061957
Sio kweli kwamba unaandikwa vibaya kwa sababu wewe ni mgogo na wala hakuna anayewadharau wagogo ni wewe mwenyewe na matendo yako yanakufanya udharauliwe.unafanya vitu vya ajabu sana huko bungeni.

Sent from my SM-J260F using JamiiForums mobile app
 
Vina protein ya hali ya juu. Usidharau tamaduni ya mwenzako.

Wewe mbona unakula chura na hatusemi( jokes, kwa sababu sikujui ha haaa)
Mimi kwetu kuna wadudu wanaitwa Mang'eng'e tunakula kwa msimu wakati wa mwezi Nov. Hatuli sababu hatuna chakula ila ni kama utamaduni. Sasa wale ndugu zake Ndugai walikuwa hawana chakula njaa iliwapiga balaa ndiyo wakaopt kula viwavi. Wakiwa na chakula hawali viwavi Wagogo.
 
SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI

"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo
View attachment 2061957
Aache huo ujinga,anaandikwa kutokana na ujinga wake

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Ndugu zake wanakula viwavi yeye anajidai kutibiwa huku kalala hotel ya 5 stars ugenini kwa nusu mwaka. Lazima adharaulike
😄😄😄 viwavi ? Jeshiiiiiiiiiiiiii? Ama vingine .labda wana vinasaba vya kichina kama ni vile jeshi
 
Wewe usitake kudanganya watu Wagogo kina Malecela Kina marehemu Job Lusinde Kina Chibulunje wanaheshimika sana tena wengine wapo level ya juu kabisa kina Dada Dr Mwele mbona hukusema wakati mwendazake anamfukuza Daktari Mwelle kuwa amekfukuzwa kisa Mgogo ukweli ni KWAMBA UNAMLETEA MH RAIS DHARAU HATA ULIPOKUWA UNAWASILISHA ILE HOTUBA YAKO body language yake ilikuwa ya Dharau kubwa eti Huyu mama amekopa juzi uliishi kwa mazoea pesa uliyotumia India kwa matibabu bili 27 wewe peke yako tozo ya watu wangapi kwa muda gani usitafute huruma ya kabila wewe ni spika wa hovyo hata watoto wako wanajua baba ni MUHOVYO
 
SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI

"Mengi mnayoyasikia wakati mwingine sio kweli kihivyo, nchi yetu ina upotoshaji mkubwa sana wa mambo mengi, na sisi viongozi siwezi kusimama leo nifafanue hili, kesho nifafanue lile, keshokutwa nifafanue lile.

Niseme ukweli, kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha sio kwasababu nina pungufu lolote, kwasababu mimi mgogo, dharau ile, muwe mnaelewa vitu vingine, kabisa ninawaambieni.

Huyu ataongea kitu gani! Wana akili hawa! Yaani umeshaharauliwa hata kabla haujapanda ile ngazi, wako wenye attitude za namna hiyo, sasa baadhi ya vijana wetu nao wanapiga madongo kumbe haelewi kinachosumbua hapa ni nini! Ni attitude tu.

Na wakati mwingine mnakuwa hamjapata ufafanuzi wa jambo lenyewe likoje na sababu zake ni zipi"

Spika wa Bunge
Job Ndugai

View attachment 2061957
Inferiority complex.
 
SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI

"Mengi mnayoyasikia wakati mwingine sio kweli kihivyo, nchi yetu ina upotoshaji mkubwa sana wa mambo mengi, na sisi viongozi siwezi kusimama leo nifafanue hili, kesho nifafanue lile, keshokutwa nifafanue lile.

Niseme ukweli, kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha sio kwasababu nina pungufu lolote, kwasababu mimi mgogo, dharau ile, muwe mnaelewa vitu vingine, kabisa ninawaambieni.

Huyu ataongea kitu gani! Wana akili hawa! Yaani umeshaharauliwa hata kabla haujapanda ile ngazi, wako wenye attitude za namna hiyo, sasa baadhi ya vijana wetu nao wanapiga madongo kumbe haelewi kinachosumbua hapa ni nini! Ni attitude tu.

Na wakati mwingine mnakuwa hamjapata ufafanuzi wa jambo lenyewe likoje na sababu zake ni zipi"

Spika wa Bunge
Job Ndugai

View attachment 2061957
Inferiority complex inamsumbua Sana huyu kijana.Alishasema kwamba anamchukia Mbowe kwa sababu wakati wanasoma Kibaha boys ,yeye alikuwa anapata shida sababu ya umaskini huku Mbowe anakula raha.
 
SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI

"Mengi mnayoyasikia wakati mwingine sio kweli kihivyo, nchi yetu ina upotoshaji mkubwa sana wa mambo mengi, na sisi viongozi siwezi kusimama leo nifafanue hili, kesho nifafanue lile, keshokutwa nifafanue lile.

Niseme ukweli, kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha sio kwasababu nina pungufu lolote, kwasababu mimi mgogo, dharau ile, muwe mnaelewa vitu vingine, kabisa ninawaambieni.

Huyu ataongea kitu gani! Wana akili hawa! Yaani umeshaharauliwa hata kabla haujapanda ile ngazi, wako wenye attitude za namna hiyo, sasa baadhi ya vijana wetu nao wanapiga madongo kumbe haelewi kinachosumbua hapa ni nini! Ni attitude tu.

Na wakati mwingine mnakuwa hamjapata ufafanuzi wa jambo lenyewe likoje na sababu zake ni zipi"

Spika wa Bunge
Job Ndugai

View attachment 2061957
Tatizo lako wewe ni mkabila,mchama na mpumbavu.
 
Sio kweli, asitake kutuletea ukabila ambao watanzania hatuna habari nao. Matendo na maneno yake bungeni ndio chanzo cha yeye kusemwa vibaya, ameishusha hadhi ya taasisi ya bunge.

Mfano issue ya kina Mdee na wenzake, ilishawahi kufanyiwa kazi na bunge siku za nyuma na uamuzi kuchukuliwa kwa wabunge wa CUF, kwanini leo Ndugai aendelee kuwalea wale huku wakipoteza pesa za walipa kodi kinyume cha sheria?

Hapa hakuna ukabila, Ndugai afuate sheria na taratibu zilizopo hakuna mtu atakaye msema vibaya, tena atapata uungwaji mkono asioutegemea.
Nashangaa afanye maamuzi ya hovyo halafu kinga iwe ugogo?jahazi letu(tanzania)linazamishwa na hawa viongozi walafi na wenye kiburi.
 
Anaandikwa vibaya kwa ufisadi wake wa kuiingiza wabunge hewa wale covid 19, kutumia bilioni 29 kwa matibabu hewa na kulifanya Bunge kuwa kusanyiko la mazuzu. Huko kuhusisha kabila lake ni inferiority complex inamtafuna
Chama chake,kichukue hatua stahiki,anadhalilisha Chama chake, taasisi aliyoaminiwa kuiongoza na maamuzi yake yanatia hasara kwa taifa.
 
Back
Top Bottom