Spika Ndugai: Baadhi ya watu wananiandika vibaya kwasababu mimi Mgogo

Spika Ndugai: Baadhi ya watu wananiandika vibaya kwasababu mimi Mgogo

tumsamehe bure huenda ARV zimepanda kichwani yanamtoka tu bila kujijua.
 
Ndugu zake wanakula viwavi yeye anajidai kutibiwa huku kalala hotel ya 5 stars ugenini kwa nusu mwaka. Lazima adharaulike
Hawa hapa wanaKongwa wenzake wakisaka maji kwa tochi

FB_IMG_1620883433830.jpg
 
Sijui kwanini Kamongo hakumbeba huyu Pimbi mwenzie anatusumbua hapa.
 
View attachment 2061585

Hii ndio Taarifa mpya kutoka Swahili Times , Hii ni baada ya Kauli yake ya nchi kupigwa mnada kutokana na mikopo , ambako wadau kadhaa wamejitokeza , si tu kumpinga bali pia kumshangaa kutokana na ukweli kwamba Yeye Ndugai ni miongoni mwa viongozi wa Tanzania ambao wameifikisha nchi hii hapa ilipo.

Baada ya kuzidiwa na mawe kila pembe Job Ndugai anatengeneza kichaka cha ukabila , Eti anaandikwa vibaya kwa vile yeye ni Mgogo .

Hivi huyu jamaa alitaka tuandikeje jambo hili ?
Yuko ukingoni akirudi kole kongwa atatamani kusikiliza habari za bungeni kumbe alitia saini bunge lisiwe live
 
aagwe vipi tena? umechungulia tulia atachukua kiti chako? mbona unaweweseka sana
 
Kwenye hili la deni kuzidi kuielemea nchi nimemuelewa Ndugai.

Infact hapo ameweza ku play well kama mhimili huru wa Bunge!

Heko Ayoub Ndugai walau umeonesha uthubutu.
 
SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo View attachment 2061332]
broo ulidhauraulika kitambo tena kumbuka ulipowaapisha watu 19 kuwa wabunge wa viti maalum pale garage kuwa wabunge ilhali hawana baraka za chama chao., huko Tanzania ukitaja ndugai ni kama vile umetaja kina bashite, bwana yule na magenge mengine
 
SPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo View attachment 2061332]
Mtu hushambuliwa kwa matendo yake maovu sio kwa ukabila wake. Asijaribu kabisa kututoa kwenye mjadala juu ya uendeshaji wake mbovu wa Bunge na uvunjaji wa kanuni na taratibu za uendeshaji bunge. Badala ya kutubu na kubadilika anazidi kuzua mjadala juu ya mdajala mitandaoni. Hopeless
 
Kwa hiyo hata covid19 amewaingiza kwasababu ni mgogo?
 
Wandali hawajawahi kushika nafasi yo yote nyeti ya uongozi nchini, lakini wagogo ni wengi mfano
Malecela, Lusinde nk lakini hawakuwahi kuandikwa vibaya! Kwa nini Ndugai anataka huruma ya wagogo kwa ujinga wake mwenyewe?
Haumkumbuki Steven Kibona Waziri wa Fedha enzi za Mwinyi? Je Mzee Cheyo?

Siku nyingi sijapita maeneo ya Masoko na Sange labda kuna vijna wa ccm huko siku hizi mm siwajui

Ila johnthebaptist atakuwa Wandali wengi wanaokula mema ya nchi
 
Haaa mitandaoni hawajui hata kabila au ugogo wako, people are keen to what you said na character yako ikoje, je unachosema unamaanisha au ww ni mnafiki, hutabiriki, huaminiki, huna au unayo public trust etc. Na hii yote inatokana na who you are thru your previous records, records zipo hazifutiki, ukiwa wa hovyo hovyo, public inakuchukuliwa hovyo hovyo.

Period. 😅🐧
Watu wanajisajaulisha usemi ule wa malipo ni hapa hapa duniani, waliotuharibia taifa letu katika kipindi zaidi ni katika kipipindi Cha kama miaka⁶ iiliyopita mzee wa bakora, au Sasa wamemwongezea jina mzee wa michongo a.k.a subwoofer na msaidizi wake hawachomoki kwenye lawama🤔.
 
Back
Top Bottom