Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa hapa wanaKongwa wenzake wakisaka maji kwa tochiNdugu zake wanakula viwavi yeye anajidai kutibiwa huku kalala hotel ya 5 stars ugenini kwa nusu mwaka. Lazima adharaulike
Wandali hawajawahi kushika nafasi yo yote nyeti ya uongozi nchini, lakini wagogo ni wengi mfanoMndali
Erythrocyte
Yuko ukingoni akirudi kole kongwa atatamani kusikiliza habari za bungeni kumbe alitia saini bunge lisiwe liveView attachment 2061585
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Swahili Times , Hii ni baada ya Kauli yake ya nchi kupigwa mnada kutokana na mikopo , ambako wadau kadhaa wamejitokeza , si tu kumpinga bali pia kumshangaa kutokana na ukweli kwamba Yeye Ndugai ni miongoni mwa viongozi wa Tanzania ambao wameifikisha nchi hii hapa ilipo.
Baada ya kuzidiwa na mawe kila pembe Job Ndugai anatengeneza kichaka cha ukabila , Eti anaandikwa vibaya kwa vile yeye ni Mgogo .
Hivi huyu jamaa alitaka tuandikeje jambo hili ?
Anaonekana kuwashwa sana kinyeo huyo baba sijui ana siku nyingi hajabonyezwaJamaa amevurugwa
Mtoeni kwenye vyombo vya habari
broo ulidhauraulika kitambo tena kumbuka ulipowaapisha watu 19 kuwa wabunge wa viti maalum pale garage kuwa wabunge ilhali hawana baraka za chama chao., huko Tanzania ukitaja ndugai ni kama vile umetaja kina bashite, bwana yule na magenge mengineSPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo View attachment 2061332]
Wewe umevaa ngozi ya chui ndio shida yako.Naomba usiniletee upuuzi
Mtu hushambuliwa kwa matendo yake maovu sio kwa ukabila wake. Asijaribu kabisa kututoa kwenye mjadala juu ya uendeshaji wake mbovu wa Bunge na uvunjaji wa kanuni na taratibu za uendeshaji bunge. Badala ya kutubu na kubadilika anazidi kuzua mjadala juu ya mdajala mitandaoni. HopelessSPIKA NDUGAI: KUTOKANA NA MAZOEA YA WAGOGO KUDHARAULIKA NDIO KINACHOSABABISHA MIMI KUSHAMBULIWA MITANDAONI
"Kuna baadhi wananiandika vibaya kila kukicha, sio kwa sababu nina pungufu lolote, ni kwa sababu mimi ni Mgogo, dharau hii!" Job Ndugai, Spika wa Bunge
#MkutanoMkuuwaWagogo View attachment 2061332]
Kwa sababu huna akili full stop, usitake kutuingiza wagogo kweny Mgogoro usi wa lazima!!ni kwa sababu mimi ni Mgogo
Let mutuz unamuona mzima? Au kibajaji?Mbona Simbachawene ni mgogo?
Mavunde ni mgogo?
Kibajaji ni mgogo?
Le mutuz ni mgogo?
Haumkumbuki Steven Kibona Waziri wa Fedha enzi za Mwinyi? Je Mzee Cheyo?Wandali hawajawahi kushika nafasi yo yote nyeti ya uongozi nchini, lakini wagogo ni wengi mfano
Malecela, Lusinde nk lakini hawakuwahi kuandikwa vibaya! Kwa nini Ndugai anataka huruma ya wagogo kwa ujinga wake mwenyewe?
Watu wanajisajaulisha usemi ule wa malipo ni hapa hapa duniani, waliotuharibia taifa letu katika kipindi zaidi ni katika kipipindi Cha kama miaka⁶ iiliyopita mzee wa bakora, au Sasa wamemwongezea jina mzee wa michongo a.k.a subwoofer na msaidizi wake hawachomoki kwenye lawama🤔.Haaa mitandaoni hawajui hata kabila au ugogo wako, people are keen to what you said na character yako ikoje, je unachosema unamaanisha au ww ni mnafiki, hutabiriki, huaminiki, huna au unayo public trust etc. Na hii yote inatokana na who you are thru your previous records, records zipo hazifutiki, ukiwa wa hovyo hovyo, public inakuchukuliwa hovyo hovyo.
Period. 😅🐧
Ndo hao hao tu.Nkamia siyo mgogo bali Mrangi OG.