Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwani Hangaya naye ni Chadema ?Kwani ni uongo mmezidi nyie Chadema kushambulia makabila mengine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani Hangaya naye ni Chadema ?Kwani ni uongo mmezidi nyie Chadema kushambulia makabila mengine
Ahsante sana (kwa Kigogo)Mh.Spika
Zigo lako libebe mwenyewe,wagogo hatudharauliwi kabisa na usitake kupata sympathy kutoka kwetu kwa maovu yako.
Time and again tumekuwa tukikuambia dhuluma haidumu na ikidumu huangamiza,sasa ona jinsi Mwenyezimungu anavyofanya mambo yake na tunamuomba akushushe uwe mtu wa kawaida kama sisi....ona kwa:
Paul Makonda
Sabaya
Bashiru
Polepole
na wengi wengine.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ndio huyo huyo mkuu wala sio mwingine.Aiseeee. Huyu ni speaker WA Bunge letu??
Bunge la wahuni likitunga sheria za kihuni wakija watu wenye akili timamu wanafuta zote.Na bado kinacho msaidia walijiwai mapema kujiwekea kinga ya kutokushtakiwa
Na yule Profesa majalala mwenye mijicho kama gong'ole naye ni mgogo pia ingawa aliwalaghai Kilosa akapewa ubunge na Magufuli kupitia jimbo la Kilosa.Zuzu bin zezeta peke yake atasema ile hospitali special ya Mirembe wasitibiwe kabila jingine kwa kuwa watu wa kabila lake tu ndio wana matatizo makubwa ya akili
Ndio hao haoJima Nkamia ni Mgogo au Mrangi yule?
Mmesahau kuwa yeye ni makamu Mwenyekiti wa Sukum gang?View attachment 2061585
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Swahili Times , Hii ni baada ya Kauli yake ya nchi kupigwa mnada kutokana na mikopo , ambako wadau kadhaa wamejitokeza , si tu kumpinga bali pia kumshangaa kutokana na ukweli kwamba Yeye Ndugai ni miongoni mwa viongozi wa Tanzania ambao wameifikisha nchi hii hapa ilipo.
Baada ya kuzidiwa na mawe kila pembe Job Ndugai anatengeneza kichaka cha ukabila , Eti anaandikwa vibaya kwa vile yeye ni Mgogo .
Hivi huyu jamaa alitaka tuandikeje jambo hili ?
Huyo ndo Ndugai MgogoView attachment 2061585
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Swahili Times , Hii ni baada ya Kauli yake ya nchi kupigwa mnada kutokana na mikopo , ambako wadau kadhaa wamejitokeza , si tu kumpinga bali pia kumshangaa kutokana na ukweli kwamba Yeye Ndugai ni miongoni mwa viongozi wa Tanzania ambao wameifikisha nchi hii hapa ilipo.
Baada ya kuzidiwa na mawe kila pembe Job Ndugai anatengeneza kichaka cha ukabila , Eti anaandikwa vibaya kwa vile yeye ni Mgogo .
Hivi huyu jamaa alitaka tuandikeje jambo hili ?
Aiseeee !!!Mmesahau kuwa yeye ni makamu Mwenyekiti wa Sukum gang?
Mkuu ,ulikua huna taarifa ?Aiseeee !!!
Je anadhani angekuwa kabila gani asingeandikwa?View attachment 2061585
Hii ndio Taarifa mpya kutoka Swahili Times , Hii ni baada ya Kauli yake ya nchi kupigwa mnada kutokana na mikopo , ambako wadau kadhaa wamejitokeza , si tu kumpinga bali pia kumshangaa kutokana na ukweli kwamba Yeye Ndugai ni miongoni mwa viongozi wa Tanzania ambao wameifikisha nchi hii hapa ilipo.
Baada ya kuzidiwa na mawe kila pembe Job Ndugai anatengeneza kichaka cha ukabila , Eti anaandikwa vibaya kwa vile yeye ni Mgogo .
Hivi huyu jamaa alitaka tuandikeje jambo hili ?