Punguza munkari au ulitaka upate wewe?Speaker analipa fadhili ya matibabu ya gharama kubwa India. Ana fanya haramu zote ili wafadhili waitambue serikali hii dhalimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza munkari au ulitaka upate wewe?Speaker analipa fadhili ya matibabu ya gharama kubwa India. Ana fanya haramu zote ili wafadhili waitambue serikali hii dhalimu.
Ameishajibiwa katika uchaguzi uliopita Chadema iliweka wanawake 62,wanawake waliopewa nafasi kwenye vyama vyote ukiwajumlisha hawafikii hii idadi,sasa wapi Kuna mfumo dume,Ndugai ni mtu aliyeoza ubongo,Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Wa TISS labdaUnapotoka, akina mdee ni wabunge hadi 2025
Hapo sawaKwani swali umeulizwa wewe au ?
Wasingezipata mabeberu sio watoto
Kwa vyoyote vile ila watakuwa BungeniWa TISS labda
Kwani wameshazipata?Wasingezipata mabeberu sio watoto
Ndugai amepanic baada ya Pius Msekwa kumpre-empty.Ni wajibu wake kama spika huo
Waliwekwa kwa utaratibu gani?Ameishajibiwa katika uchaguzi uliopita Chadema iliweka wanawake 62,wanawake waliopewa nafasi kwenye vyama vyote ukiwajumlisha hawafikii hii idadi,sasa wapi Kuna mfumo dume,Ndugai ni mtu aliyeoza ubongo,
Tukubali kutokubalianaSpika ni DHAIFU
Wazungu sio vichaa watawapa chadema na sio wezi
Hapo sasaWazungu sio vichaa watawapa chadema na sio wezi
Kabla hata hatujawatimua hawa waasi 19 tulijua watakumbatiwa na Ndugai na wala hata halitusumbui hilo cha msingi tumeua mende ndani ya chama nyie Lumumba wachukueni muwafuge.Kwa vyoyote vile ila watakuwa Bungeni
Huyo mgonjwa ghali zaidi duniani ni mpuuzi!Ndungai amekuwa mtetezi wa haki zao kina mama. Mbona maamuzi yenu ya ndani CCM Chadema hawayaingilii. Ni kikao gani cha chama kilimkuta Benard Membe ana hatia?