msweety
JF-Expert Member
- Dec 5, 2014
- 667
- 1,556
Yaani Hawa jamaa nahisi vichwani mwao wamejaza uji sio ubongo.Mgogo na boss wake alisema Hakuna mpinzani atakaerudi bungeni wanakwamisha maendeleo wakizidi Sana awafiki 3 ndoto yao imetimia leo why wanatumia nguvu kubwa Sana kuikana ndoto yao.