Yaani Hawa jamaa nahisi vichwani mwao wamejaza uji sio ubongo.Mgogo na boss wake alisema Hakuna mpinzani atakaerudi bungeni wanakwamisha maendeleo wakizidi Sana awafiki 3 ndoto yao imetimia leo why wanatumia nguvu kubwa Sana kuikana ndoto yao.
Mbona hakusema wakati CCM na Mahera walipowawejea mapingamizi na kuwaengua, kina Susan kiwanga ,Devota Minja na wengine wengi?Kwamba haki yao ikiminywa wasisemewe kisa ni wa upinzani?
Hawahami chama ila watakuwa wabunge wa mahakamaKabla hata hatujawatimua hawa waasi 19 tulijua watakumbatiwa na Ndugai na wala hata halitusumbui hilo cha msingi tumeua mende ndani ya chama nyie Lumumba wachukueni muwafuge.
Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Wabunge hawa wa gereji watakua ni vijibwa vya CCM in short tayari wameshakua wana CCM as long as wanashiriki haramu za CCM.Hawahami chama ila watakuwa wabunge wa mahakama
Tangu lini fisi akawa mtetezi wa sungura??CCM hutetea haki za wanyonge siku zote.
Subwoofer akili zake zinamtosha mwenyewe. Bunge lililopita lilikuwa dhaifu. Hili la sasa litakuwa kituko. Tatizo ni dereva.Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Anasem hivyo baada ya kuona mipango yake inakwama. Atumie tu ubabe kuwa na wabunge wasiokuwa na chama. Anasubiri barua rasmi ipi kutoka Chadema? Kwani Chadema iliwatuma kwake kwa barua kuwaapisha hao wasaliti? Si alisema ameletewa majina na tume? Awaombe tume hiyo barua rasmi na siyo Chadema. "It is over. Chadema has already played its role".Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Hata asipojiita, tunajua subwoofer ni jingalao.Wewe Ndugai, kwani huko ccm hamna wanawake? Alafu inakuwaje spika wa bunge unajiita jingalao?
Mtoto si riziki. Kongwa hamna mbunge.Feminist Ndungai
Ni dhaifu kiakili na kimwili.Spika anajua kanuni na taratibu zote iweje awasaidie kuwaingiza mkenge. Ye ndo amewaharibia
Kichwani pia hazimtoshi.Speaker analipa fadhili ya matibabu ya gharama kubwa India. Ana fanya haramu zote ili wafadhili waitambue serikali hii dhalimu.
Subwoofer haelewi. Haishangazi kwani subwoofer kazi yake ni kupayuka mwangwi kutoka kwenye mixer. Ukikata waya basi linakuwa kimya.Maamuzi ya cdm ni maamuzi sahihi na yamekimarisha zaidi chama na kuzidi kujenga imani kwa watz. Nini njaa ya miaka 5 ukalinda heshima ya milele. Watu wameuliwa wameumizwa wamekupora haki yako kibabe Hadi dunia nzima inajua iweje ushirikiane nao.
Hii kweli ni dhambi sana. Wanawake tuwape haki zaoHii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.