Papy ndombe
JF-Expert Member
- Oct 24, 2020
- 3,761
- 4,535
Membe kafukuzwa bila kusikilizwa waliongozwa na mfumo gani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HAKI YA KUGUSHI AU?Kwamba haki yao ikiminywa wasisemewe kisa ni wa upinzani?
Tatizo kukurupuka,kuropoka na kutofanya utafiti! Hizo takwimu zataka muda kuzipata,kuziandaa na uelewa.Vyote hivyo Lumumba hawajajaaliwa. Ni kubwabwaja tuuuuu hadi inakera!Tuliacha unafki na uongo usio na maana, hivi CHADEMA ina mfumo Dume tangu lini? Yaani baada ya kuchukuliwa kwa hatua za kinidhamu dhidi ya hao kinamama leo ndio mtambue huo mfumo dume?
Kwa taarifa tu ni kwamba CHADEMA ndiyo Chama pekee nchini kilichokuwa kina wagombea ubunge wa majimbo wanawake zaidi ya 64 likifuatiwa na ACT Wazalendo majimbo 36 na CCM Majimbo 21. Unapozungumzia mfumo dume ndani ya CHADEMA una maana gani?
CCM kama chama tawala kwenye kamati kuu ya chama kama chombo cha juu cha maamuzi kuna wanawake wangapi?
Mambo mengine kuongezewa sana unafki usiokua na wazi ni bora kuisema ukweli dhahiri.
Haki ipi, ya kujiteua wenyewe bila taratibu za chama kufuatwa?!Kwamba haki yao ikiminywa wasisemewe kisa ni wa upinzani?
Na chadema wakipeleka barua kwa spika means wanamtambua na wanamtambua serikaliHii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Wanawataka viti maalumu si kwamba wanawapenda Bali kupata pesa za wafadhili.Hii ni aibu Sana kwa Hii Dona kantri
Sembe kantri sytem collups kabisa need to be formated with new harddisk maana yanayowanyika ni dhahiri wanatumia uji kufikiri.Labda sembe kantri
Mapenzi ya hivyo yameanza lini?Kwamba haki yao ikiminywa wasisemewe kisa ni wa upinzani?
Ndo maana wanahaha kutafuta ndimi mpya.Mgogo na boss wake alisema Hakuna mpinzani atakaerudi bungeni wanakwamisha maendeleo wakizidi Sana awafiki 3 ndoto yao imetimia leo why wanatumia nguvu kubwa Sana kuikana ndoto yao.
YeaThose who make peaceful changes unavailable,makes violent changes inevitable,it is a matter of time
Mgogo anasema chadema kuna mfumo dume yeye wakati akimfukuza halima bungeni alikuwa akitumia mfumo jike?Ndo maana wanahaha kutafuta ndimi mpya
Fala huyo, Covid 19 wameshafukuzwa yeye aendelee nao tu analialia nini?Hii ni nukuu kutoka kwenye moja ya magazeti siku ya leo.
Inatajwa kuwa Chadema kuna mfumo dume hivyo kuna umuhimu wa kuwatetea wanawake.
Spika Ndugai anasubiri barua rasmi.
Sembe kantri sytem collups kabisa need to be formated with new harddisk maana yanayowanyika ni dhahiri wanatumia uji kufikiri
Kwa wenye njaa endelevu kama wewe huwa ndio chambo sahihi.poleni na ruzuku mtaiacha?
Watia huruma, kasome tena maamuzi ya CC CHADEMA. Kaeni nao hata milele, ni wenu.Unapotoka, akina mdee ni wabunge hadi 2025