Spika Ndugai: Enyi majaji kumbukeni Hukumu anatoa Mungu siyo ninyi hivyo mkamtangulize Mungu katika utendaji wenu

Spika Ndugai: Enyi majaji kumbukeni Hukumu anatoa Mungu siyo ninyi hivyo mkamtangulize Mungu katika utendaji wenu

Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.

Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.

Source: Channel ten
Nyani haoni kundule Ndugai anawashauri majaji wakati yeye hashauriki.
 
Ndugui ameongea jambo la msingi sana maana kuna watendaji wa serikali ikiwemo majaji hujiona miungu watu.

Wanasahau na wao ipo siku watahukumiwa kama sio hapa hapa dunian basi mbinguni siku ya kiama.
Je Ndugai yeye anajiona kama nani?
 
Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.

Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
M
Source: Channel ten
Ni jambo la kuchekesha leo dikteta ndugai kuwaasa majaji watende haki wakati yeye mwenyewe ni katika mfano mkubwa wa viongozi ambao hawatendi haki Raisi samia wacha kuwapa nafasi za kuongea watu wanafiki karma has.
 
Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.

Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.

Source: Channel ten
Hii tabia ya kusema kamtangulize mungu ni ya kipuuzi sana, maana ****** ni shetani mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.

Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.

Source: Channel ten
Sahihi 👍
 
Back
Top Bottom