WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Spika mpumbavu kuwahi tokea tangu nchi ipate uhuru.Spika!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Spika mpumbavu kuwahi tokea tangu nchi ipate uhuru.Spika!
Mbona Wewe Ndugai umeapa kwa kumtaja MUNGU kuilinda Katiba lakini UNAICHAFUA?Spika wa Bunge Job Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Ndugai naye anataja jina la MUNGU?Shetani anatoa mawaidha.. nchi hii ina vituko, cursed nation
Dikteta alimfundisha unyama mkubwa snKidhaaib! Kichaka cha kumtanguliza Mungu, ndio urithi ulioachiwa umdhihaki Mungu huku dhaalim, ukidhulumu haki za waja wa Mungu.
Huyu ni shetani mwenye miguu miwiliShetani anapotaka kufanya kazi ya kuwatafuta wafuasi waMwenyezi Mungu.
Ndugai ni kati ya madoa machafu katika taarifa letu. Hakuna kumbukumbu atakayoiacha zaidi ya kuwa spika wa hivyo, aliyefuta mamlaka ya kikatiba ya Bunge.
Huyo mgonjwa wa marukanga yeye ametanguliza tumbo lake badala ya munguSpika wa Bunge Job Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Ahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! kwa kweli. Ibilisi eti anashauri binadamu waache dhambi!Shetani anatoa mawaidha.. nchi hii ina vituko, cursed nation
MaajabuAhahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! kwa kweli. Ibilisi eti anashauri binadamu waache dhambi!