WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 7,154
- 7,155
Nyani haoni kundule Ndugai anawashauri majaji wakati yeye hashauriki.Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Je Ndugai yeye anajiona kama nani?Ndugui ameongea jambo la msingi sana maana kuna watendaji wa serikali ikiwemo majaji hujiona miungu watu.
Wanasahau na wao ipo siku watahukumiwa kama sio hapa hapa dunian basi mbinguni siku ya kiama.
Dawa inayotibu!Pale Iblis anapotoa daawa unaonaje bwashee???
Spika!Je Ndugai yeye anajiona kama nani?
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Mkuu..Mungu anakwenda kutufanyia wepesi karibuni.Shetani anatoa mawaidha.. nchi hii ina vituko, cursed nation
Nchi ina vituko hii.. ndugu gay nae anamuogopa Mungu!
Inshallah!Mkuu..Mungu anakwenda kutufanyia wepesi karibuni.
Acha uchawi bwashee!Inshallah!
Hahahaaaa.......![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]
Haki bongo ukifa na stress umejitakia
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
nshallah na iwe hivyoAcha uchawi bwashee!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Shetani anatoa mawaidha.. nchi hii ina vituko, cursed nation
Ni jambo la kuchekesha leo dikteta ndugai kuwaasa majaji watende haki wakati yeye mwenyewe ni katika mfano mkubwa wa viongozi ambao hawatendi haki Raisi samia wacha kuwapa nafasi za kuongea watu wanafiki karma has.Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
M
Source: Channel ten
Hii tabia ya kusema kamtangulize mungu ni ya kipuuzi sana, maana ****** ni shetani mkubwaSpika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten
Sahihi 👍Spika wa bunge mh Ndugai amewataka Majaji wapya kumtanguliza Mungu katika utendaji wao wa kila siku kwani hukumu ya haki hutoka kwa Mungu.
Ndugai amewashauri Majaji hao kujikita katika kusali na kujifunza neno la Mungu wakati wote.
Source: Channel ten