Spika Ndugai: Enyi majaji kumbukeni Hukumu anatoa Mungu siyo ninyi hivyo mkamtangulize Mungu katika utendaji wenu

Mbona Wewe Ndugai umeapa kwa kumtaja MUNGU kuilinda Katiba lakini UNAICHAFUA?
 
Shetani anapotaka kufanya kazi ya kuwatafuta wafuasi waMwenyezi Mungu.

Ndugai ni kati ya madoa machafu katika taarifa letu. Hakuna kumbukumbu atakayoiacha zaidi ya kuwa spika wa hivyo, aliyefuta mamlaka ya kikatiba ya Bunge.
 
Shetani anapotaka kufanya kazi ya kuwatafuta wafuasi waMwenyezi Mungu.

Ndugai ni kati ya madoa machafu katika taarifa letu. Hakuna kumbukumbu atakayoiacha zaidi ya kuwa spika wa hivyo, aliyefuta mamlaka ya kikatiba ya Bunge.
Huyu ni shetani mwenye miguu miwili
 
Huyo mgonjwa wa marukanga yeye ametanguliza tumbo lake badala ya mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…