Spika Ndugai hana mamlaka ya kupinga maamuzi halali yaliyofanywa na Kamati kuu ya CHADEMA

Spika Ndugai hana mamlaka ya kupinga maamuzi halali yaliyofanywa na Kamati kuu ya CHADEMA

Nimeshangazwa sana na kauli aliyotoa Spika Ndugai hivi leo, wakati akiwaapisha wabunge wapya Humphrey Polepole na yule mwanamama Riziki Lulida, kuwa wabunge wa kuteuliwa na Rais katika zile nafasi zake 10 alizopewa kwa mujibu wa Katiba

Spika Ndugai amenukuliwa akisema kuwa hatambui maamuzi yaliyofanywa na Kamati Kuu ya Chadema na akasema kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao 19 aliwaapisha wiki iliyopita kuwa ni wabunge halali!

Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa yeye analazimika kuongoza Bunge lake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977

Katiba hiyo katika ibara ya 71(1)(e) inasema kama ifuatavyo nanukuu:-

Ibara ya 71(1)
Mbunge yeyote atakoma kuwa mbunge na ataacha kiti chake litokeapo lolote kati ya yafuatayo.

Ibara ya 71(e)
Ikiwa Mbunge huyo atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa alichokuwemo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa mbunge.

Katiba ya nchi yetu haina wagombea binafsi, sasa tumuulize Spika Ndugai anaposema kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao waliuvuliwa uanachama wao na Chadema, atawatambua wakiwa ni wanachama wa chama gani?

Sasa sielewi Spika Ndugai anaposema kuwa hao wabunge wa viti maalum wa Chadema wataendelea kuwa wabunge, anasimamia katika Ibara ipi katika Katiba hii ya nchi?

Wenyewe tumeisoma Katiba ya nchi na ipo wazi sana katika suala hili.

Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa hii siyo Mara ya kwanza kwa chama cha siasa kufukuza wanachama wake na Bunge hilo likatii maamuzi hayo ya Chama, kwa kuwa ndivyo inavyotakiwa kwa mujibu wa Katiba.

Mwezi March 2012, Chama Cha Mapinduzi kiliwafukuza wanachama wake 12 na miongoni mwao alikuwemo, Sofia Simba, aliyekuwa Mwenyekiti wa wanawake, ambaye pia alikuwa ni mbunge.

Kilichofuata ni huyo Sophia Simba kuvuliwa ubunge wake, kwa kuwa lilikuwa ni sharti la Kikatiba.

Mwezi July 2017, Kikao cha Kamati Kuu cha CUF kiliwavua uanachama wao wabunge wanane wa chama hicho.

Vile vile Bunge hilo lilitekeleza Mara moja na kuwavua wabunge hao, ubunge wao kwa kuwa ni kwa mujibu wa Katiba ya nchi.

Sasa swali linakija ni kwanini chama cha Chadema kilivyotekeleza sharti hilo la Kikatiba, Bunge hilo hilo liwe na maamuzi tofauti?

Hii double Standard ya utekelezaji wa sheria inatokana na nini?

Nimalizie kwa kusema kuwa Spika Ndugai hana mamlaka yoyote ya kikatiba ya kuingilia maamuzi yaliyofanywa na chama cha kisiasa kinachotambulika kihalali na msajili wa vyama vya siasa.

Anachofanya Ndugai ni kuiingiza nchi hii katika mgogoro mkubwa wa Kikatiba ambao haujawahi kutokea katika siku za nyuma.

Kwa maana hiyo watanzania wote, bila kujali itikadi zetu za kisiasa tunapaswa kumkemea kwa nguvu zetu zote huyu Spika Ndugai, kwamba anaipeleka nchi hii na kuitumbukiza shimoni
Mkuu you have spoken well.sijui ni kwa nini hii awamu ya uongozi huu wameamua kuivunja katiba ya nchi makusudi ambayo ndio muongozo Wa utawala na sheria.

Ingawa katiba yenyewe ni mbovu,basi walitakiwa kuifuta hivyohivyo.
 
Nimeshangazwa sana na kauli aliyotoa Spika Ndugai hivi leo, wakati akiwaapisha wabunge wapya Humphrey Polepole na yule mwanamama Riziki Lulida, kuwa wabunge wa kuteuliwa na Rais katika zile nafasi zake 10 alizopewa kwa mujibu wa Katiba

Spika Ndugai amenukuliwa akisema kuwa hatambui maamuzi yaliyofanywa na Kamati Kuu ya Chadema na akasema kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao 19 aliwaapisha wiki iliyopita kuwa ni wabunge halali!

Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa yeye analazimika kuongoza Bunge lake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977

Katiba hiyo katika ibara ya 71(1)(e) inasema kama ifuatavyo nanukuu:-

Ibara ya 71(1)
Mbunge yeyote atakoma kuwa mbunge na ataacha kiti chake litokeapo lolote kati ya yafuatayo.

Ibara ya 71(e)
Ikiwa Mbunge huyo atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa alichokuwemo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa mbunge.

Katiba ya nchi yetu haina wagombea binafsi, sasa tumuulize Spika Ndugai anaposema kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao waliuvuliwa uanachama wao na Chadema, atawatambua wakiwa ni wanachama wa chama gani?

Sasa sielewi Spika Ndugai anaposema kuwa hao wabunge wa viti maalum wa Chadema wataendelea kuwa wabunge, anasimamia katika Ibara ipi katika Katiba hii ya nchi?

Wenyewe tumeisoma Katiba ya nchi na ipo wazi sana katika suala hili.

Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa hii siyo Mara ya kwanza kwa chama cha siasa kufukuza wanachama wake na Bunge hilo likatii maamuzi hayo ya Chama, kwa kuwa ndivyo inavyotakiwa kwa mujibu wa Katiba.

Mwezi March 2012, Chama Cha Mapinduzi kiliwafukuza wanachama wake 12 na miongoni mwao alikuwemo, Sofia Simba, aliyekuwa Mwenyekiti wa wanawake, ambaye pia alikuwa ni mbunge.

Kilichofuata ni huyo Sophia Simba kuvuliwa ubunge wake, kwa kuwa lilikuwa ni sharti la Kikatiba.

Mwezi July 2017, Kikao cha Kamati Kuu cha CUF kiliwavua uanachama wao wabunge wanane wa chama hicho.

Vile vile Bunge hilo lilitekeleza Mara moja na kuwavua wabunge hao, ubunge wao kwa kuwa ni kwa mujibu wa Katiba ya nchi.

Sasa swali linakija ni kwanini chama cha Chadema kilivyotekeleza sharti hilo la Kikatiba, Bunge hilo hilo liwe na maamuzi tofauti?

Hii double Standard ya utekelezaji wa sheria inatokana na nini?

Nimalizie kwa kusema kuwa Spika Ndugai hana mamlaka yoyote ya kikatiba ya kuingilia maamuzi yaliyofanywa na chama cha kisiasa kinachotambulika kihalali na msajili wa vyama vya siasa.

Anachofanya Ndugai ni kuiingiza nchi hii katika mgogoro mkubwa wa Kikatiba ambao haujawahi kutokea katika siku za nyuma.

Kwa maana hiyo watanzania wote, bila kujali itikadi zetu za kisiasa tunapaswa kumkemea kwa nguvu zetu zote huyu Spika Ndugai, kwamba anaipeleka nchi hii na kuitumbukiza shimoni
 
Nimeshangazwa sana na kauli aliyotoa Spika Ndugai hivi leo, wakati akiwaapisha wabunge wapya Humphrey Polepole na yule mwanamama Riziki Lulida, kuwa wabunge wa kuteuliwa na Rais katika zile nafasi zake 10 alizopewa kwa mujibu wa Katiba

Spika Ndugai amenukuliwa akisema kuwa hatambui maamuzi yaliyofanywa na Kamati Kuu ya Chadema na akasema kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao 19 aliwaapisha wiki iliyopita kuwa ni wabunge halali!

Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa yeye analazimika kuongoza Bunge lake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977

Katiba hiyo katika ibara ya 71(1)(e) inasema kama ifuatavyo nanukuu:-

Ibara ya 71(1)
Mbunge yeyote atakoma kuwa mbunge na ataacha kiti chake litokeapo lolote kati ya yafuatayo.

Ibara ya 71(e)
Ikiwa Mbunge huyo atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa alichokuwemo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa mbunge.

Katiba ya nchi yetu haina wagombea binafsi, sasa tumuulize Spika Ndugai anaposema kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao waliuvuliwa uanachama wao na Chadema, atawatambua wakiwa ni wanachama wa chama gani?

Sasa sielewi Spika Ndugai anaposema kuwa hao wabunge wa viti maalum wa Chadema wataendelea kuwa wabunge, anasimamia katika Ibara ipi katika Katiba hii ya nchi?

Wenyewe tumeisoma Katiba ya nchi na ipo wazi sana katika suala hili.

Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa hii siyo Mara ya kwanza kwa chama cha siasa kufukuza wanachama wake na Bunge hilo likatii maamuzi hayo ya Chama, kwa kuwa ndivyo inavyotakiwa kwa mujibu wa Katiba.

Mwezi March 2012, Chama Cha Mapinduzi kiliwafukuza wanachama wake 12 na miongoni mwao alikuwemo, Sofia Simba, aliyekuwa Mwenyekiti wa wanawake, ambaye pia alikuwa ni mbunge.

Kilichofuata ni huyo Sophia Simba kuvuliwa ubunge wake, kwa kuwa lilikuwa ni sharti la Kikatiba.

Mwezi July 2017, Kikao cha Kamati Kuu cha CUF kiliwavua uanachama wao wabunge wanane wa chama hicho.

Vile vile Bunge hilo lilitekeleza Mara moja na kuwavua wabunge hao, ubunge wao kwa kuwa ni kwa mujibu wa Katiba ya nchi.

Sasa swali linakija ni kwanini chama cha Chadema kilivyotekeleza sharti hilo la Kikatiba, Bunge hilo hilo liwe na maamuzi tofauti?

Hii double Standard ya utekelezaji wa sheria inatokana na nini?

Nimalizie kwa kusema kuwa Spika Ndugai hana mamlaka yoyote ya kikatiba ya kuingilia maamuzi yaliyofanywa na chama cha kisiasa kinachotambulika kihalali na msajili wa vyama vya siasa.

Anachofanya Ndugai ni kuiingiza nchi hii katika mgogoro mkubwa wa Kikatiba ambao haujawahi kutokea katika siku za nyuma.

Kwa maana hiyo watanzania wote, bila kujali itikadi zetu za kisiasa tunapaswa kumkemea kwa nguvu zetu zote huyu Spika Ndugai, kwamba anaipeleka nchi hii na kuitumbukiza shimoni
Nchi hii kuna ukuaji mkubwa wa mmomonyoko wa maadili, uvunjaji wa sheria na kanuni za nchi imekuwa ni ada kwa mwamvuli wa uzalendo.


Kuna double standards za kishenzi sana ever, Dungai is a worst, Idiot speaker ever to happen in this world,He is mercanary looking only to feed his stomarch.
 
Nchi hii kuna ukuaji mkubwa wa mmomonyoko wa maadili, uvunjaji wa sheria na kanuni za nchi imekuwa ni ada kwa mwamvuli wa uzalendo.


Kuna double standards za kishenzi sana ever, Dungai is a worst, Idiot speaker ever to happen in this world,He is mercanary looking only to feed his stomarch.
Inatakiwa wananchi wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa tuwapinge kwa nguvu zote, hawa viongozi wote walioamua kwa makusudi kabisa kuisigina sigina Katiba yetu.

Namshukuru Mzee Msekwa ameongea wazi kuwa kutokana na kikao cha Kamati Kuu ya chama cha Chadema, kuwavua uanachama wao hao wabunge 19 wa viti maalum, automatically ubunge wao unakoma Mara moja, kwa kuwa hilo ni sharti la Kikatiba. OVA
 
Awamu hii hawafuati sheria za nchi, usijisumbue, wanajua vizuri kabisa wanavunja sheria lakini hawajali, msijichoshe kupigia mbuzi gitaa, muhimu tuombe kama taifa siku ziende haraka mwisho wao ufike waondoke, au Mungu akipendezwa awapende zaidi mapema.
Ni kweli aisee. Mungu awapende zaidi mapema!
 
Dua la kuku. Nani wa kuiondoa CCM madarakani kama wapinzani ndio hawa ? Mtasubiri sana labda mwaka 2050.
Awamu hii hawafuati sheria za nchi, usijisumbue, wanajua vizuri kabisa wanavunja sheria lakini hawajali, msijichoshe kupigia mbuzi gitaa, muhimu tuombe kama taifa siku ziende haraka mwisho wao ufike waondoke, au Mungu akipendezwa awapende zaidi mapema.
 
Hata nguli wa shguhuli za Bunge, Spika mstaafu Pius Msekwa, amekuwa muwazi sana katika suala hili, amesema kuwa ubunge wa kina Halima Mdee umekoma pale Kamati Kuu ya Chadema ilipotangaza kuwa imewavua uanachama
Ukome usikome yote sawa tu. Ni kikao kipi cha kamati kuu ya CHADEMA kilichompitisha Lowasa kuwa mgombea uraisi 2015 ? Leo hii ndio mnaona kina Mdee wamekosea ? Si mwenyekiti wenu alusema amebadili gia angani ?
 
Wewe ndio hujui kitu. Soija anajua sana anachokusimamia. Utaelewa baadaye
Si dhani kama spika ni mzima. Maana mtu mzima na mwenye akili timamu aliyekabidhiwa dhamana kubwa namna ile hawezi kutoa kauli za kijinga namna ile akijua kuwa dunia nzima inamsikiliza na kumtazama. Hapa ha aibiki yeye tu ni pamoja na serikali nzima akiwemo rais.
 
Kama taifa lingekuwa na watu serious, Ccm isingekuwa madarakani hadi dakika hii.

Wanachofanya maccm ni foreplay wakijiandaa kuwabikiri raia wa taifa hili.
Sasa utaiacha CCM umchague nani nchi hii ? Hivyo vyama vya kuunga mkono ushoga na kuuza nchi ndio tuvichague ? Endelea kijifariji humu lakini kumbukeni hiyo EU haiwezi kuwaweka wapinzani madarakani.
 
Nyue wajanja mko wapi sasa ? Mbona mnazidi kuugulia maumivu tu
Hahaha usihangaike na ccm huko ndio nyumbani kwa wajinga ila wana madaraka na nguvu ya majeshi yote.

Tunajua hawajawahi kufuata sheria na hawafuati sheria yanini kuongelea sheria tena?!
 
Mliambiwa kuandamana mkaingia mitini leo unajifanya jasiriiiii. Ni keleke za chura tu
Inatakiwa wananchi wote bila kujali itikadi zetu za kisiasa tuwapinge kwa nguvu zote, hawa viongozi wote walioamua kwa makusudi kabisa kuisigina sigina Katiba yetu.

Namshukuru Mzee Msekwa ameongea wazi kuwa kutokana na kikao cha Kamati Kuu ya chama cha Chadema, kuwavua uanachama wao hao wabunge 19 wa viti maalum, automatically ubunge wao unakoma Mara moja, kwa kuwa hilo ni sharti la Kikatiba. OVA
 
Awamu hii hawafuati sheria za nchi, usijisumbue, wanajua vizuri kabisa wanavunja sheria lakini hawajali, msijichoshe kupigia mbuzi gitaa, muhimu tuombe kama taifa siku ziende haraka mwisho wao ufike waondoke, au Mungu akipendezwa awapende zaidi mapema.
Gwala again
 
Bila upinzani hakuna matilioni wamekumbuka shuka kumekucha.
Waendelee kushangilia ushindi wa kishindo
 
Najiuliza je Chadema wameshapeleka barua rasmi ya kuwavua uanachama wabunge hao. Kama bado basi spika hajavunja katba na ana haki ya kusema hivyo.Ila Kama taharifa rasmi imepelekwa na ikapokelewa na Bunge na kumfikikia Spika hapo atakua amevunja katiba aliyo apa kuitetea na kuilinda.na kitendo hivyo kinatakiwa kilaaniwe kwa nguvu zote
 
Nimeshangazwa sana na kauli aliyotoa Spika Ndugai hivi leo, wakati akiwaapisha wabunge wapya Humphrey Polepole na yule mwanamama Riziki Lulida, kuwa wabunge wa kuteuliwa na Rais katika zile nafasi zake 10 alizopewa kwa mujibu wa Katiba

Spika Ndugai amenukuliwa akisema kuwa hatambui maamuzi yaliyofanywa na Kamati Kuu ya Chadema na akaendelea kusisitiza kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao 19 aliowaapisha wiki iliyopita kuwa ni wabunge halali!

Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa yeye analazimika kuongoza Bunge lake kwa mujibu wa Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, 1977

Katiba hiyo katika ibara ya 71(1)(e) inasema kama ifuatavyo nanukuu:-

Ibara ya 71(1)
Mbunge yeyote atakoma kuwa mbunge na ataacha kiti chake litokeapo lolote kati ya yafuatayo.

Ibara ya 71(e)
Ikiwa Mbunge huyo atakoma kuwa mwanachama wa chama cha siasa alichokuwemo wakati alipochaguliwa au alipoteuliwa kuwa mbunge.

Katiba ya nchi yetu haina wagombea binafsi, sasa tumuulize Spika Ndugai anaposema kuwa ataendelea kuwatambua wabunge hao waliuvuliwa uanachama wao na Chadema, atawatambua wakiwa ni wanachama wa chama gani?

Sasa sielewi Spika Ndugai anaposema kuwa hao wabunge wa viti maalum wa Chadema wataendelea kuwa wabunge, anasimama katika Ibara ipi katika Katiba hii ya nchi?

Wenyewe tumeisoma Katiba ya nchi na ipo wazi sana katika suala hili.

Nimkumbushe tu Spika Ndugai kuwa hii siyo Mara ya kwanza kwa chama cha siasa kufukuza wanachama wake na Bunge hilo likatii maamuzi hayo ya Chama, kwa kuwa ndivyo inavyotakiwa kwa mujibu wa Katiba.

Mwezi March 2012, Chama Cha Mapinduzi kiliwafukuza wanachama wake 12 na miongoni mwao alikuwemo, Sofia Simba, aliyekuwa Mwenyekiti wa wanawake, ambaye pia alikuwa ni mbunge.

Kilichofuata ni huyo Sophia Simba kuvuliwa ubunge wake, kwa kuwa lilikuwa ni sharti la Kikatiba.

Mwezi July 2017, Kikao cha Kamati Kuu cha CUF kiliwavua uanachama wao wabunge wanane wa chama hicho.

Vile vile Bunge hilo lilitekeleza Mara moja na kuwavua wabunge hao, ubunge wao kwa kuwa ni kwa mujibu wa Katiba ya nchi.

Sasa swali linakija ni kwanini chama cha Chadema kilivyotekeleza sharti hilo la Kikatiba, Bunge hilo hilo liwe na maamuzi tofauti?

Hii double Standard ya utekelezaji wa sheria inatokana na nini?

Nimalizie kwa kusema kuwa Spika Ndugai hana mamlaka yoyote ya kikatiba ya kuingilia maamuzi yaliyofanywa na chama cha kisiasa kinachotambulika kihalali na msajili wa vyama vya siasa.

Anachofanya Ndugai ni kuiingiza nchi hii katika mgogoro mkubwa wa Kikatiba ambao haujawahi kutokea katika siku za nyuma.

Kwa maana hiyo watanzania wote, bila kujali itikadi zetu za kisiasa tunapaswa kumkemea kwa nguvu zetu zote huyu Spika Ndugai, kwamba anaipeleka nchi hii na kuitumbukiza shimoni
Umefanya vizuri kurejea katiba lakini umesahau kwamba hiki ni kizazi cha "utashi binafsi".Yasiyowezekana kwa kubanwa na katiba yanawezekana kwa utashi binafsi.

Sent from my VF-795 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom