Spika Ndugai haya uliyosema kuhusu Wabunge wa CHADEMA waliofukuzwa mbona mwaka 2017 hukuyasema wabunge wa CUF walipotimuliwa?

Spika Ndugai haya uliyosema kuhusu Wabunge wa CHADEMA waliofukuzwa mbona mwaka 2017 hukuyasema wabunge wa CUF walipotimuliwa?

Kutokana na shinikizo la kutaka wabunge hawa waondolewe Bungeni, na pia ili kumpa Spika amani na zaidi ili kulinda hadhi ya Bunge isiendelee kuporomoka, wenye mamlaka watawataka wabunge hawa wajiuzu ila watahakikisha wanalindwa hata wakiwa nje ya Bunge.

CCM na Ndugai swala hili limewakalia vibaya na sioni uwezekano wao wao kuendelea kuwalinda hawa wabunge zaid ya kuwataka tu watangaze kujiuzulu ila watakubaliana wabunge hawa waseme nini kwa umma siku ya kutangsza kujiuzulu.

Hii aibu ni ngumu kuibeba tena huku nafasi inskusta hivyo ni swala la muda tu.

Baada ya Bunge hili kwisha,sitarajii kama watarudi katika mkutano ijayo wa Bunge

Tusubiri.
 
giphy (2).gif
giphy (2).gif
Sasa kama watu walishafukuzwa Chadema, na chama chao kikakuandikia barua kuwa walishafukuzwa wewe kwa nini hutaki kuamini kuwa walishafukuzwa? Ok kama huamini kwa nini usiombe uthibitisho kuwa walifukuzwa na vikao halali?
giphy (2).gif
 
Mtu mwenye file Milembe Hospital anawezaje kuongoza Bunge na mkatarajia mema?
 
Kutokana na shinikizo la kutaka wabunge hawa waondolewe Bungeni, na pia ili kumpa Spika amani na zaidi ili kulinda hadhi ya Bunge isiendelee kuporomoka, wenye mamlaka watawataka wabunge hawa wajiuzu ila watahakikisha wanalindwa hata wakiwa nje ya Bunge.

CCM na Ndugai swala hili limewakalia vibaya na sioni uwezekano wao wao kuendelea kuwalinda hawa wabunge zaid ya kuwataka tu watangaze kujiuzulu ila watakubaliana wabunge hawa waseme nini kwa umma siku ya kutangsza kujiuzulu.

Hii aibu ni ngumu kuibeba tena huku nafasi inskusta hivyo ni swala la muda tu.

Baada ya Bunge hili kwisha,sitarajii kama watarudi katika mkutano ijayo wa Bunge


Tusubiri.
Mzee 12M+ per diem waziachie kizembe hivyo? sahau
 
Spika mkuu akawadanganye watu wa jimbni kwake,watz sio wajinga ,nitashangaa Kama chama chake kupitia mwenyekiti wake hawatamfukuza huanachama ,tz yetu sote but Ndugai hauvumiliki bora Msukuma akapewa kiti,maana Tulia,Ndugai wanavunja katiba wao ni nani? Taifa Hili ni la mungu naishia hapa kwa leo
 
Eti Ndugai anadai barua ya Katibu Mkuu wa CHADEMA haikuwa na viambatanisho ambavyo ni Muhtasari wa kikao na Katiba ya Chama!!!! Je ndio hitaji la kanuni za bunge?
 
Eti Ndugai anadai barua ya Katibu Mkuu wa CDM haikuwa na viambatanisho ambavyo ni Muhtasari wa kikao na Katiba ya Chama!!!! Je ndio hitaji la kanuni za bunge?
Mkuu acha tu ,ombi KWA viongonzi wangu wa CHADEMA, hakuna kuandika barua nyingine ,acha abaki na wabunge wake wadhulma mungu yupo asema bwana
 
Mwanzilishi wa hizi tabia ndiye wa kulaumiwa zaidi.
Hawa akina Ndugai wameiga tu.
 
Back
Top Bottom