Spika Ndugai: Kama bunge halitaibana na kuihoji serikali nani atafanya jukumu hilo?

Spika Ndugai: Kama bunge halitaibana na kuihoji serikali nani atafanya jukumu hilo?

Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.

Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?

Source: ITV habari
Nadhan anakubaliana na Prof. Asadi kuwa Bunge ni DHAIFU ...
 
Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.

Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?

Source: ITV habari
Hiyo ni shida ya kujaribu Kina Cha maji matokeo yake ni kuzama kilichopo leo ni matokeo ya kazi ya Jana usishangae
 
Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.

Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?

Source: ITV habari
Ndugai na Mwendazake mpango wao ulikuwa wawe na bunge dhaifu nabutu ambalo lisingekuwa na Uwezo wa kuisimamia serikali ili mambo yao likiwemo la kumuongezea muda Jiwe yangekuwa rahisi kuyapitisha!
Mpango wao haukutimia na ndiyo maana nchi imeambulia bunge butu ; Ndugai analolihimiza kuisimamia serikali kazi inayowashinda!!
 
Kwahio hawa watu mpaka wamefika huko hawajui kazi zao mpaka wakumbushwe ?

Kweli huu ni Usanii....
Wabunge zaidi ya 370 wote hawaikosoi serikali?

Muanze kurusha mubashara ili wananchi tuanze kurekodi hoja kwa wabunge wetu.

Ndioooooooooo,hata hawaelewi nakupiga meza kwa wingi.
 
Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.

Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?

Source: ITV habari
Mbona hawakufanya hiyo kazi miaka mitano iliyopita? Au walikuwa likizo? Nani aliwazuia wasiifanye hiyo kazi?
 
Kikao Cha familia kina ndugu wa upande mmoja, unategemea nini [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom