Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SanaaaMgogo Wa Ajabu
Hata katibu wa Bunge wameletewa juzi na Ikulu.baada ya kumtoa Kigeugea/KagaigaiWanaanzia wapi kuihojki serikali wakati ndiyo iliyowabeba kuingia bungeni?
Nadhan anakubaliana na Prof. Asadi kuwa Bunge ni DHAIFU ...Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.
Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?
Source: ITV habari
Hayo ni mawazo yako bwashee!Speaker Hatoshi
Hiyo ni shida ya kujaribu Kina Cha maji matokeo yake ni kuzama kilichopo leo ni matokeo ya kazi ya Jana usishangaeSpika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.
Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?
Source: ITV habari
Ni swali zuri!Mbona awamu ya tano serikali haikubanwa iweje ni sasa!
Ni wabunge wa gang ya chatoKwani hao 19 ni wabunge wa serikali?!
Bunge halina mvuto, wabunge wanatoa hoja rojorojo , hazina zege la kutosha!
Ndugai na Mwendazake mpango wao ulikuwa wawe na bunge dhaifu nabutu ambalo lisingekuwa na Uwezo wa kuisimamia serikali ili mambo yao likiwemo la kumuongezea muda Jiwe yangekuwa rahisi kuyapitisha!Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.
Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?
Source: ITV habari
Wabunge zaidi ya 370 wote hawaikosoi serikali?Kwahio hawa watu mpaka wamefika huko hawajui kazi zao mpaka wakumbushwe ?
Kweli huu ni Usanii....
We mburula mbona huwa huulizi maswali mazuri? Unasubiri wenye akili waulize?Ni swali zuri!
Mbona hawakufanya hiyo kazi miaka mitano iliyopita? Au walikuwa likizo? Nani aliwazuia wasiifanye hiyo kazi?Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.
Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?
Source: ITV habari
Mama watatu hujambo!We mburula mbona huwa huulizi maswali mazuri? Unasubiri wenye akili waulize?
Nenda katawaze hicho kijambio chakoMama watatu hujambo!
Mama watatu utra sound imeshakusoma tunasubiri umtotolee hivyo vifaranga Freeman!Nenda katawaze hicho kijambio chako