johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
- #41
Hahahaaaa........!Heeee heee hahahah dah hii nchi hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa........!Heeee heee hahahah dah hii nchi hii
Hehehe 🤣🤣🤣Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.
Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?
Source: ITV habari
Sawa changudoa wa kiheheMama watatu utra sound imeshakusoma tunasubiri umtotolee hivyo vifaranga Freeman!
Hahahaaaa...... Usisahau kwenda clinic segito mama watatu!Sawa changudoa wa kihehe
Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.
Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?
Source: ITV habari
Hao ni wabunge wa NDIOOO kila kitu, kama mlivyohitaji. Hata Covid 19 waliingizwa humo kwa kukubali masharti hayohayo.
Watanzania tunakokotwa na wahuni walioingia ktk siasa na kujitwalia madaraka makubwa ya kutuamulia. Tunafanywa wajinga sana tena bila aibu wala chembe ya woga. Ipo siku hawa wajinga na waoga watasema hapanaSpika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.
Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?
Source: ITV habari
Ndiyo analijua leo hili? Wakati Bunge lilipokuwa na Wabunge wa upinzani yeye ndiye alikuwa anawa shutdown wapinzani wasiibane Serikali na wakati mwingine akiwapa wabunge vilaza wa CCM airtime waijibie Serikali kwa njia ya kuwakejeli wapinzani. Ndungai huyu ndiye ameshusha hadhi ya Bunge hadi lionekane kama kijiwe cha wahuni tu.Spika Ndugai amewataka wabunge kutimiza wajibu wao wa kikatiba kama mhimili wa kuibana, kuihoji na kusimamia serikali wakati wote tena bila kuchoka.
Spika Ndugai amehoji kama wabunge wanashindwa kufanya kazi hiyo wanataka nani mwingine aifanye?
Source: ITV habari
Covid 19 ni wabunge wa Ndungai na MaheraKwani hao 19 ni wabunge wa serikali?!
Kudadadeq walahiWakojani wanasema, " Kumamameyo"
Ishukuriwe CoronaNdugai na Mwendazake mpango wao ulikuwa wawe na bunge dhaifu nabutu ambalo lisingekuwa na Uwezo wa kuisimamia serikali ili mambo yao likiwemo la kumuongezea muda Jiwe yangekuwa rahisi kuyapitisha!
Mpango wao haukutimia na ndiyo maana nchi imeambulia bunge butu ; Ndugai analolihimiza kuisimamia serikali kazi inayowashinda!!
Mbowe mbaya sana kamuweka watatu kwa mpigo halafu kamtelekezaMama watatu hujambo!
Hao wabunge wanatimiza wajibu wao kitaifa,tatizo ni chadema kukosa usingiziSwali ikihojiwa kuhusu hao wabunge COVID 19 wanaokula hela bure anaiweka kapuni ,mengine anajifanya mfuatiliaji kama nesi wa zamu
Akili ya Ndugai inajua mbunge lazima awe CCMNdugai ni MNAFIKI tena akiwa ni mtu mzima mwenye umri wa miaka zaidi ya 60, bunge lililopita hakukuwa na wabunge waliouliza kuhusu watu wasiojulikana? Manunuzi ya ndege bila kuidhinishwa na bunge haikuulizwa? Na mengine mengi? Je, akiwa kiongozi mkuu wa bunge Ndugai alihakikisha bunge analoongoza linaibana serikali? Ndugai yupo sawa sawa kweli?