Spika Ndugai: Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) ipo ICU, imeshashindwa

Spika Ndugai: Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) ipo ICU, imeshashindwa

Mwenyekiti wa bodi wa ranchi za Taifa ni Mzee Paul Kimiti!!!! Lowassa alipokuwa waziri wa mifugo alijichukulia yake mapema!!!

Ndugai ni Mbunge anaeiwakilisha constituency ya Kongwa ambako kulikuwa na ranch kubwa sana ya serikali; sasa kama hizi ranch zimekufa ikiwemo na hii ya Kongwa ,na yeye muda wote huu akiwa mbunge alikuwa wapi kushtukia ufisadi uliosababisha hizi ranch kufa na leo kuja na hoja eti zibinafsishwe? Huyu mgogo achunguzwe lazima amehusika kuhujumu ranch ili ajikatie na yeye!!
Usafi wa Mzee Paul Kimiti...Tafadhari...
 
Spika wa Bunge la Tanzania amesema Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) ipo 'ICU' na kwa miaka mingi wadau wamekuwa wakinyamaza, lakini imefika mahali lazima ukweli usemwe.

Amesema "NARCO hawezi kufufuka, ile sio Ranchi. Mkitaka tuibadilishe iwe Hifadhi ya Wanyamapori. Hata Serikali iende inunue na kujaza ng'ombe hamtafanikiwa".

Ameongea hayo Bungeni wakati wa Majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Migugo na Uvuvi ambapo amesisitiza, "Sio kazi ya Serikali kuchunga ng'ombe. Achieni wenye kazi yao".

..mimi nimemsikia Naibu Waziri Mh.Gekul akisema vituo vya utafiti wa mifugo vijiendeshe kibiashara. nikajiuliza kwanini ushauri huo asiupeleke kwenye kampuni ya ranchi ili vituo vya utafiti vibaki kufanya kazi ya utafiti?
 
..mimi nimemsikia Naibu Waziri Mh.Gekul akisema vituo vya utafiti wa mifugo vijiendeshe kibiashara. nikajiuliza kwanini ushauri huo asiupeleke kwenye kampuni ya ranchi ili vituo vya utafiti vibaki kufanya kazi ya utafiti?
Gekul sio NW tena, ktk wizara tajwa NW ni mwingine
 
Spika wa Bunge la Tanzania amesema Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) ipo 'ICU' na kwa miaka mingi wadau wamekuwa wakinyamaza, lakini imefika mahali lazima ukweli usemwe.

Amesema "NARCO hawezi kufufuka, ile sio Ranchi. Mkitaka tuibadilishe iwe Hifadhi ya Wanyamapori. Hata Serikali iende inunue na kujaza ng'ombe hamtafanikiwa".

Ameongea hayo Bungeni wakati wa Majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Migugo na Uvuvi ambapo amesisitiza, "Sio kazi ya Serikali kuchunga ng'ombe. Achieni wenye kazi yao".
Anashangaa nini wakati anajua serikali yake in ya kijamaa? Amwambie waziri wa Sheria na Katiba alete mswaada bungeni ili watoe hicho kupengele watu binafsi waendeshe hizo Ranchi Serikali ibaki na Ranchi zake za Utafiti na ichuke kodi kwenye ranchi za watt binafsi
 
Spika wa Bunge la Tanzania amesema Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) ipo 'ICU' na kwa miaka mingi wadau wamekuwa wakinyamaza, lakini imefika mahali lazima ukweli usemwe.

Amesema "NARCO hawezi kufufuka, ile sio Ranchi. Mkitaka tuibadilishe iwe Hifadhi ya Wanyamapori. Hata Serikali iende inunue na kujaza ng'ombe hamtafanikiwa".

Ameongea hayo Bungeni wakati wa Majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Migugo na Uvuvi ambapo amesisitiza, "Sio kazi ya Serikali kuchunga ng'ombe. Achieni wenye kazi yao".
Huyu spika simwelewi kabisa! Sijui ana mpango wa kuinunua hiyo ranchi ya Taifa!! Hana kauli za kuboresha isipokuwa za kukatisha tamaa!!
 
Spika wa Bunge la Tanzania amesema Kampuni ya Ranchi ya Taifa (NARCO) ipo 'ICU' na kwa miaka mingi wadau wamekuwa wakinyamaza, lakini imefika mahali lazima ukweli usemwe.

Amesema "NARCO hawezi kufufuka, ile sio Ranchi. Mkitaka tuibadilishe iwe Hifadhi ya Wanyamapori. Hata Serikali iende inunue na kujaza ng'ombe hamtafanikiwa".

Ameongea hayo Bungeni wakati wa Majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Migugo na Uvuvi ambapo amesisitiza, "Sio kazi ya Serikali kuchunga ng'ombe. Achieni wenye kazi yao".
Ndugai ni maoni yangu

CCMIMPUMZISHE SASA

Hana manufaa kwa hili taifa hata kidogo

Inamaana Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli hawakuliona hilo, mpaka yeye aje anze kuropoka sasa

Kimsingi kampuni ya ranchi za taifa ni moja ya Mhimili wa taifa kwenye swala nzima la UFUGAJI, Sijui Ndugai ameshawahi jiuliza siku mlipuko wa magonjwa ya MIFUKO ukatokea KAMPUNI YA RAchi za taifa inaweza tumika kama....QUARANTINE....

Inamaana Ndugai hatambui ndani ya NARCO ndiko sehemu pekeee mifugo yetu ya asili inahifadhiwa kwa ajili ya kuihuisha na kuiboresha zaidi..hapa tuna mfano MZURI MABUKI

Ndugai hatambui kwamba NARCO wanafanya utafiti wa malisho bora ya mifugo na hata kipindi cha ukame wafugaji wengi wanakimbilia narco kununua majani????



Ndugai Naamini kuna kitu alikitaka Kongwa akanyimwa au akakosa sasa ndio anaanza kubwabwaja

Nilitarajia atoe ushauri wa naaamna bora ya kuendesha hii kampuni kwatija ili iwe chachu kwa wafugaji wakuwa wa zaize ya kati na wafugaji wadogo wadogo
 
Ni vyema kumsikiliza Ndugai mara ya pili .Binafsi naona ana point lkn hili la kujiuliza eti sheria ilipitaje pitaje hapa KUNA KASORO yaan mnajiuliza ilipitaje pitaje



Suala sio kuwa na point. Alitakiwa aeleze mgongano wa kimaslahi alionao kwenye ranchi kwani inasemekana nae ni miongoni mwa wapangaji kwenye ranchi ya Kongwa.

Pili wazo la kubinafsishwa sio jipya. Ranchi ilikuwa na eneo zaidi ya Hekta laki tano na sehemu kubwa kwa sasa ilishabinafsishwa na/au kupangishwa kwa wadau (sekta binafsi). Alipaswa kutueleza maendeleo ya hao "sekta binafsi" anaopigia chapuo kuwa wanaweza. Ni kweli wameweza? Hii inajumuisha Usangu, Misenyi, Kigoma, Handeni, n.k.

Aidha eneo lililopo la ranchi na mashamba mengine kwa sasa ni ndogo ikilinganishwa na miaka iliyopita. Maeneo hayo yalikwisha milikishwa sekta binafsi na mengine kwenye halmashauri na kugeuzwa kuwa viwanja vya makazi kama kule Iwambi Mbeya.

Nadhani mwangwi anaoupigia chapuo Mh. Spika una maslahi binafsi zaidi na kutaka kupoka taasisi hizi hata kile kidogo kilichopo. Waseme walichokigawa na kujiuzia hapo awali kina maendeleo gani hadi sasa. Kufikiri kwamba utaondoa matatizo ya wafugaji kwa kuwagawia sehemu ndogo za ranchi zilizobaki kama vile ilivyofanyika Ranchi ya Kongwa ambayo na yeye ni sehemu ya mnufaika si sahihi sana.

NARCO na mashamba mengine yaliyobaki yanaweza kuendelezwa kwa maslahi mapana ya nchi ikiwemo kuendeleza vizazi na kuwa sehemu ya mafunzo ya vitendo na kuwa lango la mfano kwa uzalishaji bora kibiashara.

Iliuliwa ATCL imerudishwa, Iliuliwa TAFICO nayo hiyo imerudishwa .......

Tusiongozwe na tamaa bali uzalendo wa kweli.
 
Suala sio kuwa na point. Alitakiwa aeleze mgongano wa kimaslahi alionao kwenye ranchi kwani inasemekana nae ni miongoni mwa wapangaji kwenye ranchi ya Kongwa.

Pili wazo la kubinafsishwa sio jipya. Ranchi ilikuwa na eneo zaidi ya Hekta laki tano na sehemu kubwa kwa sasa ilishabinafsishwa na/au kupangishwa kwa wadau (sekta binafsi). Alipaswa kutueleza maendeleo ya hao "sekta binafsi" anaopigia chapuo kuwa wanaweza. Ni kweli wameweza? Hii inajumuisha Usangu, Misenyi, Kigoma, Handeni, n.k.

Aidha eneo lililopo la ranchi na mashamba mengine kwa sasa ni ndogo ikilinganishwa na miaka iliyopita. Maeneo hayo yalikwisha milikishwa sekta binafsi na mengine kwenye halmashauri na kugeuzwa kuwa viwanja vya makazi kama kule Iwambi Mbeya.

Nadhani mwangwi anaoupigia chapuo Mh. Spika una maslahi binafsi zaidi na kutaka kupoka taasisi hizi hata kile kidogo kilichopo. Waseme walichokigawa na kujiuzia hapo awali kina maendeleo gani hadi sasa. Kufikiri kwamba utaondoa matatizo ya wafugaji kwa kuwagawia sehemu ndogo za ranchi zilizobaki kama vile ilivyofanyika Ranchi ya Kongwa ambayo na yeye ni sehemu ya mnufaika si sahihi sana.

NARCO na mashamba mengine yaliyobaki yanaweza kuendelezwa kwa maslahi mapana ya nchi ikiwemo kuendeleza vizazi na kuwa sehemu ya mafunzo ya vitendo na kuwa lango la mfano kwa uzalishaji bora kibiashara.

Iliuliwa ATCL imerudishwa, Iliuliwa TAFICO nayo hiyo imerudishwa .......

Tusiongozwe na tamaa bali uzalendo wa kweli.
Pamoja na maelezo yako mazuri, lkn pia Spika aliongezea hata modal ya ubinafsishaji haujakaa vizuri
Alizungumzia issue ya umilik wa ardhi kwa kipindi cha muda usiozidi mwaka 1 kiukweli hakuna investment ambayo inashamiri ndani ya mwaka

Kitu kingine kizur kilizungumshwa na mbunge mmoja ya kuwa sio lazima. Tufikirie walio wengi kheri wapewe wachache wenye uwezo then serikal itatengeneza mazingira mazuri ya kuwabeba hao wengi ulitolewa mfano wa Uganda na Rwanda ambao wao wana export maziwa

N.B Mbunge kama ana fedha zake anataka kuwekeza asitazamwe kama FISADI sio lzm muwekezaji atoke Europe, Asia au America. Wa Tz tuondoe mawazo mgando
 
Waqt mh lowassa alipokuwa waziri mkuu alitembelea kusini huko akakuta ranchi ina wafanyakazi kama mia hivi na wana ng"ombe mmoja mh lowassa akamchukua mkurugenzi ndani ya gari yake sijui kiliendelea nini kwa mkurugenzi ila ranchi ilifungwa
Kumbe watu wanakula mishahara ya bure tu huko maofisini
 
Back
Top Bottom