Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Kama anaamini hivyo anasubiri Nini, mvua inyesha au jua kuchwea.Ndugai anayo msemo wake mmoja hivi akirefers wimbo ule ya kua ukishachafuka uwezi kushafishika Tena.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama anaamini hivyo anasubiri Nini, mvua inyesha au jua kuchwea.Ndugai anayo msemo wake mmoja hivi akirefers wimbo ule ya kua ukishachafuka uwezi kushafishika Tena.
Maisha hayatabiriki. Maisha yana mambo mengi ya ajabu na yenye kutoa majibu. Maisha yanakwenda kasi sana. Job Yustino Ndugai, Mbunge wa Kongwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yamemfika. Yamemkuta na amefikishwa kwenye ukuta. 'Ameropoka'; akajitetea, akaomba radhi lakini hakukubaliwa. Rais 'kumjibu' kwa 'kumtaja' hadharani inamaanisha kuwa msamaha haukutolewa. Lazima jambo liwe.
Ndugai na historia ya kuukandamiza upinzani Bungeni. Tangu mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake na baada ya Ndugai kupokea maelekezo ya kuwashughulikia wapinzani ndani ya Bunge na nje kuachwa Mwendazake mwenyewe, Ndugai alikuwa mahiri bila ubahili katika kusimamia maagizo kutoka juu katika kuwashughulikia wapinzani. Aliwafukuza kutoka Ukumbi wa Bunge Wabunge wa upinzani; aliwaburuza Kamati ya Maadili; aliwasimamisha kwa tambo wahusika na hata kuwatisha. Kilele cha yote ni pale alipomvua kikatili Ubunge Tundu Lissu.
Ndugai aliona ameyapatia. Aliona amefika. Alikuwa akicheka kwa mateso ya wenzake na kukasirika kwa mafanikio ya wapinzani Bungeni. Upinzani ukafika tamati Bungeni mwaka 2020 baada ya 'uchafuzi mkuu' wa mwaka huo. Upinzani ukafutwa Bungeni. Ndugai akafurahi sirini na hadharani. Akakiona kiti cha Spika rahisi na chepesi kuliko nyasi katika kukiongoza bila kuunguza. Akaendelea kuwakera wapinzani kwa kuwaapisha na kuwakumbatia Wabunge haramu 'wa CHADEMA' wakiongozwa na Halima Mdee.
Leo, karma imemrudi Ndugai. Haaminiki. Hatakiwi. Hapendwi. Hathaminiki. Haeleleweki. Hapokelewi simu zake wala kujibiwa jumbe zake. Hapewi ushirikiano na wale alioamini walikuwa wakimfurahia. Amekwama. Anahema. Anazama. Amekuwa mpinzani wao Bungeni. Amekuwa mpingaji wao chamani. Amekuwa mpinzani wao sirini na hadharani. Upinzani umefufuka Bungeni kupitia yeye. Hakika, karma is real!
Spika Ndugai asithubutu kuongoza kikao chochote cha Bunge. Akifanya hivyo, hataupenda mwisho wake utakaorushwa mubashara runingani.
What goes around, comes around!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Kwanza alikosea namba ya kuomba radhi,piki kaishajiuzuluMaisha hayatabiriki. Maisha yana mambo mengi ya ajabu na yenye kutoa majibu. Maisha yanakwenda kasi sana. Job Yustino Ndugai, Mbunge wa Kongwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yamemfika. Yamemkuta na amefikishwa kwenye ukuta. 'Ameropoka'; akajitetea, akaomba radhi lakini hakukubaliwa. Rais 'kumjibu' kwa 'kumtaja' hadharani inamaanisha kuwa msamaha haukutolewa. Lazima jambo liwe.
Ndugai na historia ya kuukandamiza upinzani Bungeni. Tangu mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake na baada ya Ndugai kupokea maelekezo ya kuwashughulikia wapinzani ndani ya Bunge na nje kuachwa Mwendazake mwenyewe, Ndugai alikuwa mahiri bila ubahili katika kusimamia maagizo kutoka juu katika kuwashughulikia wapinzani. Aliwafukuza kutoka Ukumbi wa Bunge Wabunge wa upinzani; aliwaburuza Kamati ya Maadili; aliwasimamisha kwa tambo wahusika na hata kuwatisha. Kilele cha yote ni pale alipomvua kikatili Ubunge Tundu Lissu.
Ndugai aliona ameyapatia. Aliona amefika. Alikuwa akicheka kwa mateso ya wenzake na kukasirika kwa mafanikio ya wapinzani Bungeni. Upinzani ukafika tamati Bungeni mwaka 2020 baada ya 'uchafuzi mkuu' wa mwaka huo. Upinzani ukafutwa Bungeni. Ndugai akafurahi sirini na hadharani. Akakiona kiti cha Spika rahisi na chepesi kuliko nyasi katika kukiongoza bila kuunguza. Akaendelea kuwakera wapinzani kwa kuwaapisha na kuwakumbatia Wabunge haramu 'wa CHADEMA' wakiongozwa na Halima Mdee.
Leo, karma imemrudi Ndugai. Haaminiki. Hatakiwi. Hapendwi. Hathaminiki. Haeleleweki. Hapokelewi simu zake wala kujibiwa jumbe zake. Hapewi ushirikiano na wale alioamini walikuwa wakimfurahia. Amekwama. Anahema. Anazama. Amekuwa mpinzani wao Bungeni. Amekuwa mpingaji wao chamani. Amekuwa mpinzani wao sirini na hadharani. Upinzani umefufuka Bungeni kupitia yeye. Hakika, karma is real!
Spika Ndugai asithubutu kuongoza kikao chochote cha Bunge. Akifanya hivyo, hataupenda mwisho wake utakaorushwa mubashara runingani.
What goes around, comes around!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mzee Tupa tupa, haujaandika point ya msingi inayomhusu Ndugai, siamini kama kweli umesahau au umeamua kumpumzusha yule mgogo.Maisha hayatabiriki. Maisha yana mambo mengi ya ajabu na yenye kutoa majibu. Maisha yanakwenda kasi sana. Job Yustino Ndugai, Mbunge wa Kongwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yamemfika. Yamemkuta na amefikishwa kwenye ukuta. 'Ameropoka'; akajitetea, akaomba radhi lakini hakukubaliwa. Rais 'kumjibu' kwa 'kumtaja' hadharani inamaanisha kuwa msamaha haukutolewa. Lazima jambo liwe.
Ndugai na historia ya kuukandamiza upinzani Bungeni. Tangu mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake na baada ya Ndugai kupokea maelekezo ya kuwashughulikia wapinzani ndani ya Bunge na nje kuachwa Mwendazake mwenyewe, Ndugai alikuwa mahiri bila ubahili katika kusimamia maagizo kutoka juu katika kuwashughulikia wapinzani. Aliwafukuza kutoka Ukumbi wa Bunge Wabunge wa upinzani; aliwaburuza Kamati ya Maadili; aliwasimamisha kwa tambo wahusika na hata kuwatisha. Kilele cha yote ni pale alipomvua kikatili Ubunge Tundu Lissu.
Ndugai aliona ameyapatia. Aliona amefika. Alikuwa akicheka kwa mateso ya wenzake na kukasirika kwa mafanikio ya wapinzani Bungeni. Upinzani ukafika tamati Bungeni mwaka 2020 baada ya 'uchafuzi mkuu' wa mwaka huo. Upinzani ukafutwa Bungeni. Ndugai akafurahi sirini na hadharani. Akakiona kiti cha Spika rahisi na chepesi kuliko nyasi katika kukiongoza bila kuunguza. Akaendelea kuwakera wapinzani kwa kuwaapisha na kuwakumbatia Wabunge haramu 'wa CHADEMA' wakiongozwa na Halima Mdee.
Leo, karma imemrudi Ndugai. Haaminiki. Hatakiwi. Hapendwi. Hathaminiki. Haeleleweki. Hapokelewi simu zake wala kujibiwa jumbe zake. Hapewi ushirikiano na wale alioamini walikuwa wakimfurahia. Amekwama. Anahema. Anazama. Amekuwa mpinzani wao Bungeni. Amekuwa mpingaji wao chamani. Amekuwa mpinzani wao sirini na hadharani. Upinzani umefufuka Bungeni kupitia yeye. Hakika, karma is real!
Spika Ndugai asithubutu kuongoza kikao chochote cha Bunge. Akifanya hivyo, hataupenda mwisho wake utakaorushwa mubashara runingani.
What goes around, comes around!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Waziri wenu wa mchongo hawezi kufanya haya
View attachment 2070455
Ni mwaka mmoja tu.Kama umeme wa 27000 wanasema ni ulaghai na haiwezekani , wakati kwa zaidi ya miaka mitano tumeunganishiwa kwa bei hiyo waziri wa michongo kisha feli zamani mnoo.
hii inaingiaje hapa mbona Kama umepanic Sana ArifWaziri wenu wa mchongo hawezi kufanya haya
View attachment 2070455
Waziri wenu wa mchongo hawezi kufanya haya
View attachment 2070455
Maisha hayatabiriki. Maisha yana mambo mengi ya ajabu na yenye kutoa majibu. Maisha yanakwenda kasi sana. Job Yustino Ndugai, Mbunge wa Kongwa na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yamemfika. Yamemkuta na amefikishwa kwenye ukuta. 'Ameropoka'; akajitetea, akaomba radhi lakini hakukubaliwa. Rais 'kumjibu' kwa 'kumtaja' hadharani inamaanisha kuwa msamaha haukutolewa. Lazima jambo liwe.
Ndugai na historia ya kuukandamiza upinzani Bungeni. Tangu mwanzoni mwa utawala wa Mwendazake na baada ya Ndugai kupokea maelekezo ya kuwashughulikia wapinzani ndani ya Bunge na nje kuachwa Mwendazake mwenyewe, Ndugai alikuwa mahiri bila ubahili katika kusimamia maagizo kutoka juu katika kuwashughulikia wapinzani. Aliwafukuza kutoka Ukumbi wa Bunge Wabunge wa upinzani; aliwaburuza Kamati ya Maadili; aliwasimamisha kwa tambo wahusika na hata kuwatisha. Kilele cha yote ni pale alipomvua kikatili Ubunge Tundu Lissu.
Ndugai aliona ameyapatia. Aliona amefika. Alikuwa akicheka kwa mateso ya wenzake na kukasirika kwa mafanikio ya wapinzani Bungeni. Upinzani ukafika tamati Bungeni mwaka 2020 baada ya 'uchafuzi mkuu' wa mwaka huo. Upinzani ukafutwa Bungeni. Ndugai akafurahi sirini na hadharani. Akakiona kiti cha Spika rahisi na chepesi kuliko nyasi katika kukiongoza bila kuunguza. Akaendelea kuwakera wapinzani kwa kuwaapisha na kuwakumbatia Wabunge haramu 'wa CHADEMA' wakiongozwa na Halima Mdee.
Leo, karma imemrudi Ndugai. Haaminiki. Hatakiwi. Hapendwi. Hathaminiki. Haeleleweki. Hapokelewi simu zake wala kujibiwa jumbe zake. Hapewi ushirikiano na wale alioamini walikuwa wakimfurahia. Amekwama. Anahema. Anazama. Amekuwa mpinzani wao Bungeni. Amekuwa mpingaji wao chamani. Amekuwa mpinzani wao sirini na hadharani. Upinzani umefufuka Bungeni kupitia yeye. Hakika, karma is real!
Spika Ndugai asithubutu kuongoza kikao chochote cha Bunge. Akifanya hivyo, hataupenda mwisho wake utakaorushwa mubashara runingani.
What goes around, comes around!
Mzee Tupatupa wa Lumumba (kwasasa Dodoma)
Mshahara wa dhambi ni mauti na dhambi ile itamtafuna kiungo kimojakimoja hadi mauti yake.Leo, karma imemrudi Ndugai.
Haaminiki.
Hatakiwi.
Hapendwi.
Hathaminiki.
Haeleleweki.
Hizi video zake ingependeza awe anachezewa kila wakati huko aliko, DUBWASHA huyu alijiona kama Mfalme JUHA.