Spika Ndugai: Kutoka 'kuua' upinzani Bungeni hadi kuwa 'mpinzani' Bungeni

Ndugai anayo msemo wake mmoja hivi akirefers wimbo ule ya kua ukishachafuka uwezi kushafishika Tena.
Kama anaamini hivyo anasubiri Nini, mvua inyesha au jua kuchwea.
 
Hahahahahaaa nineupenda huu uchambuzi.

Kwenye biblia imeandikwa "watu wangu msipoimba basi mawe yatageuka na yataimba na kumsifu Allah"

Sasa naona yanatimia kwa Ndugai,alishiriki kuua upinzani bungeni usisikike leo ameanza kusikika yeye akiimba wimbo wa upinzani akiwa peke yake/ usicheze na reality hahahajaahaa
 
Kwanza alikosea namba ya kuomba radhi,piki kaishajiuzulu

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mzee Tupa tupa, haujaandika point ya msingi inayomhusu Ndugai, siamini kama kweli umesahau au umeamua kumpumzusha yule mgogo.

Ndugai anakuwa spika WA Bunge WA Kwanza aliyejitungia Sheria ya kutoshitakiwa .

Alijiona untouchable.

Sasa karma imemrudia.

Hakuna anayemtetea hata mmoja.
 
Alikuwa katuliaaa ndugai anakula AC ya mjengo pale dodoma maskini akaenda kuita wale wagogo wenzake dakika 5 tu alichosema maisha yake anayaona machungu mnoo., shenztyp
 
Watu wanatumia fursa, kosa moja goli 100
 
 
Kidume cha Bungeni - chaliiiii, CCM vana laaah.

 
Bado mmoja karma inamchelewesha huyu anajiona bado raisi wa jamhuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…