3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
Inaonekana ilani ya ccm inalitambua jimbo la Lissu liko Libya sio TzMimi nakishangaa chama chake (CCM) ambacho kilishindwa na bado kimeshindwa kutekeleza ilani yake katika jimbo hilo miaka yote hiyo kiliyotawala nchi hii.