Inaonekana ilani ya ccm inalitambua jimbo la Lissu liko Libya sio TzMimi nakishangaa chama chake (CCM) ambacho kilishindwa na bado kimeshindwa kutekeleza ilani yake katika jimbo hilo miaka yote hiyo kiliyotawala nchi hii.
Na ingekuwa ndio kazi ya mbunge Magufuli angekuwa amepajenga CHATO siku nyingi sanakwani kazi ya mbunge ni kupeleka maji?
kama ni hivyo mbona vijiji vya kongwa hakuna maji?
Sidhani kama ni mzima.Hivi huyu bwana hana kazi nyingine hapo Bungeni? anahangaika tu ooh Mbowe ooh Lema ooh Lisu , huyu jamaa vipi? kwakweli hapa tumepatikana , mambo yamaana hayaguswi hata kidogo hii ni takataka kabisa
Marehemu kabla ya kufa hutapa tapa sana mkuu na kufikia kuongea ata vitu vya ajabu,.Hivi huyu bwana hana kazi nyingine hapo Bungeni? anahangaika tu ooh Mbowe ooh Lema ooh Lisu , huyu jamaa vipi? kwakweli hapa tumepatikana , mambo yamaana hayaguswi hata kidogo hii ni takataka kabisa
Ya nyumba za tembeYeye ndungai kaacha legacy gani kongwa
Ku.,.[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji848][emoji848][emoji2960]Huyu Spika itakua aanakaribia .........
Jifunze kwanza kuandika Herufi na sarufi kwa usahihi!!Ndicho mlichokalilishwa nyumbu?
Kama hakuna alichoaacha mbona alichaguliwa tena 2015?Jibu hoja yake, aliacha nini jimboni?
Lisu alijifunza kwa Ndugai?Nakumbuka kuna kijana alipiga picha choo cha zahanati fulani huko Kongwa kilichokuwa na hali mbaya kiasi kwamba hata mende waliishi humo kwa machale na hata kama umebanwa kiasi gani ukiambiwa jisaidie humo haja inayeyuka.
Lakini kilikuwa kinatumiwa na wagonjwa wa zahanati husika yaliyomkuta huyo kijana alikamatwa na polisi na kusundwa ndani akiulizwa yeye ni nani apige picha na kuisambaza, kumbe shida ilikuwa ni jimbola spika kwamba limetiwa aibu.
wimbo; kuna makao mazuri sanaaa........kuna makao mazuri sanaaHuyu Spika itakua aanakaribia.