Spika Ndugai: Marehemu Nditiye alinitumia ujumbe wa kunishukuru kwa kumuinua wiki chache zilizopita!

Spika Ndugai: Marehemu Nditiye alinitumia ujumbe wa kunishukuru kwa kumuinua wiki chache zilizopita!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Akitoa salamu zake za rambirambi wakati wa kumuaga mwendazake Nditiye, Spika wa bunge mh Ndugai amesema marehemu alimtumia meseji kwa njia ya simu akisema " mh Spika nimefanya ibada mara mbili nikikuombea kwa Mungu aendelee kukuweka hai kwa jinsi ulivyoniinua tangu niingie bungeni "

Spika Ndugai aliisoma meseji hii mbele ya waombolezaji huku akiwa na masikitiko na huzuni kubwa.

Chanzo: TBC.

Maendeleo hayana vyama!
 
Pole kwa Spika Job Ndugai
Alale salama Nditiye
 
Wote hao ni Chawa wa Magufuli
Na marehemu anatangulia JEHANAMU na huyu DHAIFU atafuata soon.
 
Back
Top Bottom