Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawa wana hofu ya Mungu kweli?, viongozi tumepata kwa kweli.Kwahiyo marehemu hakuinuliwa na Mungu wala wananchi waliompigia kura bali ni spika? Dunia ina mambo na ndio maana wasomi wabobezi wanasma wameokotwa jalalalni
Kwa hali ilivyo ngumu sana, Mtu yoyote akikupa Mchongo wa kupiga pesa,lazima utamuona Kama Mungu wako!!Kwahiyo marehemu hakuinuliwa na Mungu wala wananchi waliompigia kura bali ni spika? Dunia ina mambo na ndio maana wasomi wabobezi wanasma wameokotwa jalalalni
Acha urongo wewe!Kwa hali ilivyo ngumu sana, Mtu yoyote akikupa Mchongo wa kupiga pesa,lazima utamuona Kama Mungu wako!!
Huku akimnyima Lissu fedha ya matibabuKila nikikumbuka yale mabilioni aliyoteketeza kule Apollo India najikuta namchukia tu
Liko wazi hilo mkuu[emoji38][emoji38][emoji38]halafu ukute hakujibu.
Duuh!Huyu Spika ni wa kumuinua mtu kweli?
Au ndio anataka kujiinua yeye.