Tabia hizo wanazo washamba washamba malimbukeni majitu ya kujikweza kweza na ma tai na makaunda suti hata weekend wakiwa kwny shughuli za kijamii mitaani
nimewaza tu, si unajua kuna ile hali ya kujikuta mkubwa sana.
sms hujibu, ikipigwa simu unapokea halafu unauliza wewe nani. ndio ulikuwa unasemaje[emoji38][emoji38][emoji38].
kwamba wakubwa hamuwezi hata kusalimiwa.