nimewaza tu, si unajua kuna ile hali ya kujikuta mkubwa sana.
sms hujibu, ikipigwa simu unapokea halafu unauliza wewe nani. ndio ulikuwa unasemaje[emoji38][emoji38][emoji38].
kwamba wakubwa hamuwezi hata kusalimiwa.
Wote hao ni Chawa wa Magufuli
Na marehemu anatangulia JEHANAMU na huyu DHAIFU atafuata soon.
Hivi anamaanisha nini hasa katika jambo hili?
Akitoa salamu zake za rambirambi wakati wa kumuaga mwendazake Nditiye, Spika wa bunge mh Ndugai amesema marehemu alimtumia meseji kwa njia ya simu akisema " mh Spika nimefanya ibada mara mbili nikikuombea kwa Mungu aendelee kukuweka hai kwa jinsi ulivyoniinua tangu niingie bungeni "
Spika Ndugai aliisoma meseji hii mbele ya waombolezaji huku akiwa na masikitiko na huzuni kubwa.
Source TBC.
Maendeleo hayana vyama!
Kama zipi hapo boss?Usimkufuru Mola wako kwa kujipa kazi asiyokupa wakati alizokupa zinakushinda
Mambo ya sifa za marehemu, uongo mwingine bana, sasa huyo spika alimuinua vipi?
Angejibu nini wakati supika alimshauri anywe mchanganyiko wa malimao,tangawizi na vitunguu mwajuma kwa wingi pamoja na kupiga nyungu!!!halafu ukute hakujibu.
Tukisema CCM ni wachawi,wabongo wanakuja juu. Huu ndio uchawi wenyewe uliowekwa wazi na sabufa.Anatafuta politics mileage hadi kwa mwendazake!
Kama wewe mshika mikoba ya Jaa Kaa Yaaa.Tabia hizo wanazo washamba washamba malimbukeni majitu ya kujikweza kweza na ma tai na makaunda suti hata weekend wakiwa kwny shughuli za kijamii mitaani
Sasa inasaidia nini,huyu andunje naye ni mzigo tuAkitoa salamu zake za rambirambi wakati wa kumuaga mwendazake Nditiye, Spika wa bunge mh Ndugai amesema marehemu alimtumia meseji kwa njia ya simu akisema " mh Spika nimefanya ibada mara mbili nikikuombea kwa Mungu aendelee kukuweka hai kwa jinsi ulivyoniinua tangu niingie bungeni "
Spika Ndugai aliisoma meseji hii mbele ya waombolezaji huku akiwa na masikitiko na huzuni kubwa.
Source TBC.
Maendeleo hayana vyama!
Kila nikikumbuka yale mabilioni aliyoteketeza kule Apollo India najikuta namchukia tuHuyu Spika ni wa kumuinua mtu kweli?
Au ndio anataka kujiinua yeye.
Anawahi mataputapu wasiweke majiBwashee unaandika ukiwa na haraka ya kwenda wapi?
Akitoa salamu zake za rambirambi wakati wa kumuaga mwendazake Nditiye, Spika wa bunge mh Ndugai amesema marehemu alimtumia meseji kwa njia ya simu akisema " mh Spika nimefanya ibada mara mbili nikikuombea kwa Mungu aendelee kukuweka hai kwa jinsi ulivyoniinua tangu niingie bungeni "
Spika Ndugai aliisoma meseji hii mbele ya waombolezaji huku akiwa na masikitiko na huzuni kubwa.
Source TBC.
Maendeleo hayana vyama!
Kama wewe mshika mikoba ya Jaa Kaa Yaaa.
Hakutakiwa kuisoma hadhari.Akitoa salamu zake za rambirambi wakati wa kumuaga mwendazake Nditiye, Spika wa bunge mh Ndugai amesema marehemu alimtumia meseji kwa njia ya simu akisema " mh Spika nimefanya ibada mara mbili nikikuombea kwa Mungu aendelee kukuweka hai kwa jinsi ulivyoniinua tangu niingie bungeni "
Spika Ndugai aliisoma meseji hii mbele ya waombolezaji huku akiwa na masikitiko na huzuni kubwa.
Source TBC.
Maendeleo hayana i!