Spika Ndugai: Marehemu Nditiye alinitumia ujumbe wa kunishukuru kwa kumuinua wiki chache zilizopita!

Tabia hizo wanazo washamba washamba malimbukeni majitu ya kujikweza kweza na ma tai na makaunda suti hata weekend wakiwa kwny shughuli za kijamii mitaani
nimewaza tu, si unajua kuna ile hali ya kujikuta mkubwa sana.

sms hujibu, ikipigwa simu unapokea halafu unauliza wewe nani. ndio ulikuwa unasemaje[emoji38][emoji38][emoji38].

kwamba wakubwa hamuwezi hata kusalimiwa.
 

Mambo ya sifa za marehemu, uongo mwingine bana, sasa huyo spika alimuinua vipi?
 
Tabia hizo wanazo washamba washamba malimbukeni majitu ya kujikweza kweza na ma tai na makaunda suti hata weekend wakiwa kwny shughuli za kijamii mitaani
Kama wewe mshika mikoba ya Jaa Kaa Yaaa.
 
Sasa inasaidia nini,huyu andunje naye ni mzigo tu
 


Jiongeze
 
Kwa hiyo Ndugai anataka tumuite MPWA kisa mwendazake aliona kainuliwa naye?
Basi arasimishe kampeni ya WAPWA TUINUANE mjengoni.
 
Hakutakiwa kuisoma hadhari.

Amandla...
 
Rip kwake marehemu ila mwaka huu mambo yanavoenda sirikali wajiandae kwa uchaguz wa marudio maeneo meng nchini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…