Lucky Star
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,874
- 3,215
...... ambapo pamoja na mambo mengine alilituhumu Bunge kwa vitendo vya rushwa.
“Watu wanabeba tu mabilioni yameibiwa sasa huyo rafiki yangu Freeman Mbowe alikuwa Ulaya.......
Amesema kwa hiyo unaposoma mtaani unaona sh 500 zimeibwa lakini kumbe pale ni Sh milioni moja ndio hazina risiti.
Amesema kamati hizo zitaanza mapema kuchambua ripoti hizo ili waangalie ratiba yao na kuwaelimisha watu kuhusiana na ripoti ya CAG ambayo ni taarifa nzuri lakini baadhi ya watu wanabeba na kupotosha tu.
Mwananchi
Hivi Ndugai yupo serious kweli?
1. Kwamba ripoti ijadiliwe mapema kwa sababu ya Mbowe?
2. Upotevu wa milioni moja kati ya 500mil hautakiwi kuhojiwa?
Au ndiyo vile ukigusa Bunge basi lazima watu wajitoe ufahamu? Kisa Mbowe kutaja rushwa Bungeni[emoji38]
Halafu anajichanganya, kusema "watu wanabeba tu mabilioni" lakini mwisho anasema "unaposoma mtaani unaona sh 500 zimeibwa lakini kumbe pale ni Sh milioni moja ndio hazina risiti"